Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Subiri kwanza tumalize somo 🤣🤣🤣
Unatag kama kawaida.
Halafu ukishatag ukipost,unarudi kuedit.

Kwenye kuedit unaedit pale kwenye jina,unapachika maneno unavyotaka.

Mfano Numbisa.

Nilivyopost nikarudi Tena kuedit
Hapo nipo nafuta jina lake tu then naandika ninayotaka.
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-124532.jpg
    Screenshot_20221130-124532.jpg
    88.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom