Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

[emoji2772]
255788117376_status_de83a9cbbb2f472482d018a3fb5e306d.jpg
 
Mini ni team Argentina lakini to be honest to myself nilivowaona since game ya kwanza nilijua Hamna kitu pale ni wabovu, hawana mpira wa kuforce kutafuta matokeo hususani wakiwa wamepakiwa basi ndio huwa hawana ujanja kabisa.....

Na akimaliza 2nd position basi France atatufunga si chini ya goal tatu knock out stage....

Kiufupi nipo nao ila najua kuendelea kwake kwa stage za huko mbele ni bahati na sio uwezo maana hana na WC huwezi fika mbali kwa bahati hiyo haipo....

Akipakiwa basi hana penetration pass wala nini....hivi Paul dyabara ni majeruhi???
We Mpira Unaujua, Ila Group Stages Watavuka
 
Back
Top Bottom