Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

mkuu labda kama ndio game yako ya kwanza kwa spain unaangalia,...
wale ni typical barcelona, hawanaGa plan B........
Japan waliziba njia za kupitisha mpira, spain wakawa hawaoni pa kupita ndio wanaanza kupiga mapasi kuwavuta.....

Japan walimiliki nafasi spain wao walimiliki mpira kitu ambacho akina faida yoyote.
Spain wamepiga pasi 1025, japan wao pasi 245.hapo ukigawanya pasi za japan zinaingia karibia mara tano

Japan walikaa kwenye nafasi tu Spain wanapiga pasi zao huko wanakuwa wanapoteza muda wao wenyewe tu.
 
wakati costarica anaongoza 2-1 na japan anaongoza 2-1 ilikuaje?
tuacheni utani, japan wameshinda kihalali, spain alizidiwa kabisa na so far akikutana na watabe atatolewa

Hilo liko wazi anaejua mpira hilo linaonekana kabisa japan walimiliki nafasi tu Spain kupiga pasi kwao walikuwa kama wanapoteza muda wao wenyewe maana hakukuwa na Cha maana pale.
 
Kama unaamini Japan kumfunga German ilikuwa sahihi kutokana na ubora wa Japan ila same Japan kumfunga Spain ni match fixing wakati hawa wote waliofungwa na Japan walikutana wakatoa droo basi mnatuletea uchambuzi wa ndondo kwenye wc. Hamko mahala sahihi
 
Netherlands, Argentina, Japan, Senegal, France, Morocco hawa ndio nawaona wakienda robo fainali ila hao wengine wapo overhyped hawana ubora mzuri hasa hasa ktk finishing wakiongozwa na Spain.

Spain na England wamedandia mitumbwi ya vibwengo. Hasa hasa Spain wanakwenda kucheza na timu imara sana ktk michuano hii. Japan kalamba dume kucheza na Croatia, nawaonea huruma sana Spain kuangukia mikononi mwa timu bora ya hii michuano so far.
Watu wanaodhan Spain kapata unafuu hawajawaona Morocco.. Spain iyo game anaweza omba abadilishiwe apewe ya Croatia sik iyo.
 
Drama in the WC.

What a group!!! Spain aliyeshinda goli 7 kwa nunge, leo hii amepita kwa tofauti ya magoli.

Dk ya 71, Spain na Germany zilikuwa out.

Germany bila kujua akajitia kiherehere kushinda huku akimtegemea Spain kudroo[emoji3][emoji3][emoji3]

Si kajua hajui, Spain karelax kalinda lose yake huku akiwa na faida ya magoli.

Kumtegemea jirani ni vigumu sana, umemkost Tunisia na Sasa Germany.

Kuna mwamba Twitter ilipofika dk ya 85 na ikaonekana hakuna uwezekano wa Spain kudroo, akasema bora Germany wajifunge goli 3 ili watoke pamoja na Spain[emoji3][emoji3]

So far, hili group limetia fora
Yan kiherehere cha Germany ndo kimewaponza wao wangejua wenzao walikua hawasumbuki kbs na wao wangekufa nao ili wote waingie kwny headlines kua wametoka Pa1 na Belgium.
 
Route to the World Cup 2022 Final
Updated
World Cup 2022 Bracket.jpg
 
Kuna uwezekano Fainali ya 1998 kati ya France vs Brazil ikajirudia, lakini awamu hii Brazil hii hii akainua kombe juu.
Na wao wajue sio rahis m1 hapo anaweza shangazwa akajikuta yuko nymbn anakula viazi na wajukuu.

Mpr wa karne izi team ndg hazioni tabu kukatia ticket hata ya bus la Ngorika urud tu nymbn.
 
Ghana katk kosa watalifanya kwend na Mentality ya Draw watatoka.. Wacheze kutafuta ushindi draw sio ki2 cha kutafuta sik zote utafungwa ubak unalia kama mbwa mwitu.
Pia, Favouritism ikitokea itaiua Ghana, kitu ambacho ni kibaya kwenye soccer. Hii Mechi itachezeshwa na Muamuzi kutoka ulaya, mostly Mjerumani au Mfaransa....ila unaweza ukaona wakiipendelea Uruguay
 
Na wao wajue sio rahis m1 hapo anaweza shangazwa akajikuta yuko nymbn anakula viazi na wajukuu.

Mpr wa karne izi team ndg hazioni tabu kukatia ticket hata ya bus la Ngorika urud tu nymbn.
Ni kweli ila kwa hapa historia nayo inaanza kuchukua nafasi yake
 
Back
Top Bottom