Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kirahisi namna hii mkuu? Sio group stage hii ujuwe.
Mkuu natambua hilo ila ndo nnachokiona hapa ..

Kumbuka 16 bora kuna team 8 ambazo zimeingia kibahati tuu

Kwenye 16 bora nakuhakikishia hapa ..

Team 8 zitakazo toka ni mshindi wa pili

Nafkr mpaka sasa ushaona team zilizoenda robo fainal zote ni zile zilizoongoza kwenye group stage

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mkuu natambua hilo ila ndo nnachokiona hapa ..

Kumbuka 16 bora kuna team 8 ambazo zimeingia kibahati tuu

Kwenye 16 bora nakuhakikishia hapa ..

Team 8 zitakazo toka ni mshindi wa pili

Nafkr mpaka sasa ushaona team zilizoenda robo fainal zote ni zile zilizoongoza kwenye group stage

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini HT 2-0 sio kwa hawa Senegal.
 
Quote me Uingereza wanatupwa nje na Senegal 🇸🇳 halafu Senegal 🇸🇳 anaenda kumfunga Ufaransa Robo Fainali, ila Nusu Fainali anakutana na Brazil 🇧🇷.

Keep it.

Britanicca
 
Goli la kwanza litafungwa kwa kichwa na mmoja wa mabeki wa senegal
 
Back
Top Bottom