Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

[emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229][emoji1229]

Come on.....
 
Kiufupi kocha kazingua na ndo maana alikua na hali ngumu wakati timu iko nyuma kwa goli
Angemuqnzisha Ronaldo labda ingekua tofauti

Ila ukiangalia sana Portugal haina historia nzuri wedi kapu

Wakapumzike na wampe kocha kijana hii timu

Wazee hawa kina Tite na Santos mpira umewapita mda

Ukiangalia mpaka sa hivi timu zilizo nusu fainali hazina vibabu kama makocha

Hata wajukuu wa malkia na kocha wao vijino yuko njema!
 
Hii game CR7 angeanza Morocco wangelala, kocha alichemka sana kumuweka CR7 bench.
Ndio imeisha hio maskini.

Tata [emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]
Screenshot_20221210-200249_WhatsApp.jpg
 
Kocha kiazi sana yule Dalot na Felix hawakutakiwa kuanza
Dalot watu wa man utd tunamjua kijana wetu huyu toka mda hawezi piga cross yoyote na haongezi chochote kwenye timu

Bora Cancelo angeanza ule upande

Kocha ni kiazi mbatata
 
Mimi nachanganyikiwa tu, nimebet na mtu mkwanja mrefu niliingiza timu 4 sasa mbili zishaaga mashindano.
Zimebaki 2 France na Argentina.
Bado nataka na Morocco ashinde, ila mkwanja nautaka pia. Sijui cha kufanya hapa...

Keka limeshachanika bantu!!
 
Simba nayo imeweka recordi ... ya kuwahi kuifunga timu iliyokuwa na mchezaji aliyeingia Nusu fainali ya World Cup.

Louis Miquisson alivyowageuza kama chapati mabeki wa Al Ahly ya akina Benoun na kufunga goli zuri
 
Back
Top Bottom