Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Unazingua ujue, match na Canada ilikuaje??
Alijifunga mkuu

Hakuna timu pinzani iliyoweza kumfunga hadi sasa

Screenshot_20221210-213044-1.jpg
 
Maandalizi yote waliyoyafanya Qatar itakuwa ni kazi bure kama France atatolewa
 
Kombe la dunia litadharaulika itaonekana ni mchezo fulani wenye nuksi
 
Jana zilitembea kadi za kutosha.Ile game ingeendelea watu wengi wangekosa next match,hasa kwa Argentina ambao wamepita.
Mpira haujawahi kuwa lelemama.
Ndio maana watu wanavaa viatu na guards😀😀😀
Jana ulikuwa uhuni ulipitiliza Kiwango na ndio maana refa aliwekwa mhuni mhuni kwenye game za namna ile.
Hata hii game ya Francs na Wajukumu wa Marehemu utakuwa ubabe mwingi mno.
Wafaransa wanapenda kupaka paka rangi mpira

Wana uarabu flani hivi
 
Next
England vs France
2200


Mechi tisa za mwisho kati ya England vs France

France ameshinda mechi nne
England ameshinda mechi tatu
Sare mbili
 
Back
Top Bottom