Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scars Nakadori Saint Anne mnamuona huyu mwingereza wa kunduchi?.....Ufaransa akimfunga England najikata mkuyenge
Game niliangalia vizuri ila hakuna kingine zaidi ya ubora waliouonesha Nedherland ndio ulipelekea magoli kurudiKama ulitazama game huwezi blame kwanini goal mbili zilirudi
Mnafeli wapi mbona hii link iko fresh tu
Kwanza huo mkuyenge anao?
Kwa anaetaka kubeti na kumla mhindi hii world cup, ukiona huyu jamaa kasema hivi wewe weka mkeka vice versaAjentina hawezi kufika fainali labda wacheze 13 uwanjani
Mkuuu acha makasiriko na mwamba za migodiniMaandalizi yote waliyoyafanya Qatar itakuwa ni kazi bure kama France atatolewa
Ukiifungua hapo utaona option ya kwanza imeandikwa World cup 2022Nimedownload limekuja jedwali Lina vingi,online tv,donluchese nk naendeleaje hapa!?..muda huu
Mimi hata sioni logic behind this, swali la kwanza ni kwanini ananzia bench !?Yote ni kufata ushauri wa Prof Ten Hag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaaa atamlaumu kocha hadi basi.
Alitakiwa amuanzishe tangu dakika ya kwanza,ili hata wakipoteza basi akose cha kumsingizia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kweli sikufichi yani maana halisi ya mpira itapotea wala sio utaniMkuuu acha makasiriko na mwamba za migodini
Turuhusu tukukateUfaransa akimfunga England najikata mkuyenge
We waponze wenzako waianze jumapili kwa majonziKwa anaetaka kubeti na kumla mhindi hii world cup, ukiona huyu jamaa kasema hivi wewe weka mkeka vice versa
Utakuwa wa Kwanza kunikata