Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

FIFA wamepanga Argentina awe bingwa ili kumfavour Messi.

Goli la kwanza halikuwa penati maana mchezaji wa Argentina alishaupiga mpira ndio kagongana na kipa na mpira walishau win mabeki wa Croatia so hapo walibebwa tuu Hakuna penati.
Alisikika shabiki mmoja kutokea buza
 
Back
Top Bottom