yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,520
- 4,526
Npo nmechill na halaand tuna msubr alvares arudiWadada EPL na Uefa zikirudi muendelee na huu moto pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo nmechill na halaand tuna msubr alvares arudiWadada EPL na Uefa zikirudi muendelee na huu moto pia.
Whatever the results will be,,, forever Les Blues
Bila kupiga cross au pass mpenyezo argentina hautoboiYanarudi
Jamaa bado wa moto [emoji91]Anajua yule mtu
WanastahiliArgentina kila mechi wana penalty
Kiukweli hizo penalties ndizo zinazopunguza ubora wa Mabingwa Argentina, yani tangu dunia iumbwe ndiyo maajabu yameikuta dunia 2022 kwa penati 5 kati ya mechi 7...[emoji38]Kila mechi lazima waanzishiwe penalty ndo wafunge kawaida
Mtu anapewa penalty tano
Kombe la dunia ni mechi 7 tu unacheza
Jamaa penalty mechi 5 hata shabiki zake wanajua bila hizi penalty Mbuzi asingefika mbali
Mbuzi mwenyewe sasa [emoji1541][emoji1541]
View attachment 2450968
🤣🤣🤣🤣Wadada EPL na Uefa zikirudi muendelee na huu moto pia.
Astaafu sasa 2026 no messi no cr7,yan ni tunaanza upyaaaa very clean. Tumfaid Mbappe na wengine vzr sasaKila mechi lazima waanzishiwe penalty ndo wafunge kawaida
Mtu anapewa penalty tano
Kombe la dunia ni mechi 7 tu unacheza
Jamaa penalty mechi 5 hata shabiki zake wanajua bila hizi penalty Mbuzi asingefika mbali
Mbuzi mwenyewe sasa [emoji1541][emoji1541]
View attachment 2450968
HAHAHAHAHA LEO MBAPPE AMEMEZWAA NA GOAT MLA WATUKumuona Mbape mpaka usome jezi mgongoni ukiona 10 basi ndio yy.
Apewe pongezi kwa kufunga penalty 4 na kukosa 1Naona Dalili za kombe kwenda South America ....the last time ilikua 2002 alipochukua brazil
Miaka 20 baadaye Argentina anakuja kuchukua
Pongezi nyingi kwa Lionel Messi
Sent using Jamii Forums mobile app
World cup ya 2014 kama asingeumia Di Maria, walikua wanabeba Argentina. Kocha kajua Di Maria ni injury prone, ndio maana akamtunza kwaajili ya big ocassion!Di maria ni kama alikuwa special kwa ajili ya final hii
Uniite AminaYanarudi