DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,610
- 2,874
Unataka mtu asipewe penalty kama anastahili?Argentina kila mechi wana penalty
Cry more🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka mtu asipewe penalty kama anastahili?Argentina kila mechi wana penalty
Messi atakomba tuzo zote aisee...Messi mchezaji bora top score na kilakitu
Astaafu sasa 2026 no messi no cr7,yan ni tunaanza upyaaaa very clean. Tumfaid Mbappe na wengine vzr sasa
MPIRA WALIKUWA WANACHEZEA KWENYE KEYBOARD WAKASAHAU KWAMBA MPIRA UNACHEZWA QATAR UWANJANI DAKIKA 90Wafaransa mmeenda wapi tena, mbona mmekimbia mapema sana?
Kelele zimewaisha eeh? Tuliwaambia hakuna wa kumzuia Messi wala Argentina... Habari mnayo...
Kwa taarifa tu Argentina tuna raha sana 😍😍😍😍😍
Kweli zidane kwenye haya mashindano sijamuona kabisaMbona sikuoni zidane ??
Kwaio penati ya leo france wameonewa?Kila mechi lazima waanzishiwe penalty ndo wafunge kawaida
Mtu anapewa penalty tano
Kombe la dunia ni mechi 7 tu unacheza
Jamaa penalty mechi 5 hata shabiki zake wanajua bila hizi penalty Mbuzi asingefika mbali
Mbuzi mwenyewe sasa [emoji1541][emoji1541]
View attachment 2450968
World cup ya 2014 kama asingeumia Di Maria, walikua wanabeba Argentina. Kocha kajua Di Maria ni injury prone, ndio maana akamtunza kwaajili ya big ocassion!
Kila siku nawaambia humu, usitume wavulana kwenye shughuli ya wanaume. Mbappe hajui anafanya nini uwanjani, watu wanatembea nae kila sehemu. Wahuni wamevunja midfield, wafaransa hawatembei.
Ngoja tuone second half watarudi na mbinu zipi!
HATA HUMU JF WEWE UNAWAONAPale kati Ufaransa kapoteana kabisa
Wadada wa jf tupo juu. Jukwaa limechangamka haswaaWadada EPL na Uefa zikirudi muendelee na huu moto pia.
Mmoja yuko Tandahimba, mwingine yuko Biharamulo. Hawataki kabisa kusikia habari za mpira!Yuko wapi Scars na Saint Anne ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahTulia ww
Kama ulibet kafate mshiko wako
Ulipe bills zinazokukaba
Kama wamechezewa vibaya unataka wasipewe, mpira unaendeshwa na sheria sio hisiaKila mechi lazima waanzishiwe penalty ndo wafunge kawaida
Mtu anapewa penalty tano
Kombe la dunia ni mechi 7 tu unacheza
Jamaa penalty mechi 5 hata shabiki zake wanajua bila hizi penalty Mbuzi asingefika mbali
Mbuzi mwenyewe sasa [emoji1541][emoji1541]
View attachment 2450968
Enviare la tarifa, no temas😛😛😛😛😛😛
Magoli yao mengine mazuri ila hizo penalty sasaKiukweli hizo penalties ndizo zinazupunguza ubora wa Mabingwa Argentina, yani tangu dunia iumbwe ndiyo maajabu yameikuta dunia 2022 kwa penati 5 kati ya mechi 7...[emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Baambiye ba watu ba ndugu zao na Congo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣MPIRA WALIKUWA WANACHEZEA KWENYE KEYBOARD WAKASAHAU KWAMBA MPIRA UNACHEZWA QATAR UWANJANI DAKIKA 90