Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mtumishi wa Mungu wa pale kawe akijaza uwanja wa mkapa kama mtumishi wa FIFA Messi akijaza uwanja pale Qatar. Hongera bony Mungu akujalie afya njema japo hutaki kufananishwa na mtumishi wa FIFA.
IMG_20221218_185346_0.jpg
 
Wafaransa mmeenda wapi tena, mbona mmekimbia mapema sana?
Kelele zimewaisha eeh? Tuliwaambia hakuna wa kumzuia Messi wala Argentina... Habari mnayo...
Kwa taarifa tu Argentina tuna raha sana 😍😍😍😍😍
MPIRA WALIKUWA WANACHEZEA KWENYE KEYBOARD WAKASAHAU KWAMBA MPIRA UNACHEZWA QATAR UWANJANI DAKIKA 90
 
World cup ya 2014 kama asingeumia Di Maria, walikua wanabeba Argentina. Kocha kajua Di Maria ni injury prone, ndio maana akamtunza kwaajili ya big ocassion!

Kila siku nawaambia humu, usitume wavulana kwenye shughuli ya wanaume. Mbappe hajui anafanya nini uwanjani, watu wanatembea nae kila sehemu. Wahuni wamevunja midfield, wafaransa hawatembei.

Ngoja tuone second half watarudi na mbinu zipi!

Acha wapigwe tu
 
Kila mechi lazima waanzishiwe penalty ndo wafunge kawaida

Mtu anapewa penalty tano

Kombe la dunia ni mechi 7 tu unacheza

Jamaa penalty mechi 5 hata shabiki zake wanajua bila hizi penalty Mbuzi asingefika mbali

Mbuzi mwenyewe sasa [emoji1541][emoji1541]

View attachment 2450968
Kama wamechezewa vibaya unataka wasipewe, mpira unaendeshwa na sheria sio hisia
 
Back
Top Bottom