Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #29,701
Dakika 8 za nyongeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatuchelewesha kutupa ndoo yetu
Ao ni chawa wa MessiNashangaa wanaoshabikia Argentina, america kusini ni bara ambalo lina weusi weeengi lakini shangaa kwenye timu yao ya taifa hakuna mchezaji mweusi, miaka ya 1820s baada ya biashara ya utumwa kusitishwa raisi wao aliwaua watu weusi weengi sana wengine wakakimbilia Brazili na Ecuador Mimi ni nani niwashabikie waargentina?
Ndo amekuja na hasira hizo khaa.Aliemwita Mbappe amekosea sana
Hahaaaa dk 90Haa Haa
wanaeza enda matuta mkuuNini hiki??
Watu wa Mwanza mko wapi?[emoji23]Nyieeeee nakojoooooaaaa leo natoa yoteeee[emoji533][emoji533][emoji533]
🤣🤣🤣🤣🤣Nini hiki??
Pole sana Mungu akutie nguvuAisee ahsante....Laki 550,000 inaondoka huku naona...nimeongea sana...sasa nipo kimya busy na simu
hayo ni maneno yako tu sio ya Mungu.Nyie bwana mtakufa tuu...mlisharuhusu goli mbili.
Kama mtaenda hadi penalty na france wakaanz kupiga wao nakwambia mmekwisha