Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hiv kuna mchezaj amby anewahi kushinda hat trick ktk fainal??
Geoff Hurst (1966)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv kuna mchezaj amby anewahi kushinda hat trick ktk fainal??
Toka FIFA ili PELE MFALME WA SOKA duniani awe sawa na Miss penati [emoji1787]Unajua mwamuzi wa Kati maelekezo yake ya Mwisho anapokea toka wapi
Yes, wote wawil ni wachezaj wazur. Itachukua vizaz na vizaz kuja kutokea tena wachezaji km hawaNafikiri kipindi chetu ni cha baraka zaidi kushuhudia wachezaji bora wakichuana mess and c. Ronaldo, life time opportunity
Kiukweli kuna muda baada ya kusawazisha ilikuwa inatokea nataka timu yangu ishinde lakini kila nilipokuwa namuangalia Di Maria akiwa analia, huruma inanijaa nafikiria vitu vingi.sababu di maria alitoka ......ila alikuwa hafurukutiiii. makosa ya kocha wetu
Ya mchongo kama ile waliomtapeli LewandoskiNa bado Ballon d'or.
Naombeni mwenye full tweet ya hii. Yni aliyei tweet jina lake au picha fulView attachment 2451082
viatu vya messi ni vikubwa sana kwa mbapeee 😅😅😅 leo naona kijana kajua nani mkubwa kati yake na GOAT🤣🤣🤣🤣🤣
Uliona mpira wachezwa kwa mikono.... Kiungo kinachoweza kufunga goli halali Ni vidole ?Toka FIFA ili PELE MFALME WA SOKA duniani awe sawa na Miss penati [emoji1787]
Yani vidole vimezidi kabisa mstari lakini bado tu unakaza fuvu sababu ya mahaba niuwe daaah [emoji38]View attachment 2451086View attachment 2451087View attachment 2451088
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Asante best hali ilikuwa tete, niliikimbia TV. Nikakimbia hapa. Nikawa naomba tu. Hatimaye tumesikiwa nasasa ni furaha kwa miaka 4 ijayo...Hongereni Messi & Co. Ilikuwa fainali yenye msisimko sana, sipati picha ulikuwa unakaaje na pressure ilipanda hadi ngapi🤣🤣
Lakini Mbappe amepiga hat trick, ana kiatu cha dhahabu mkuu, at just 23 unadhani huyu dogo mchezo?viatu vya messi ni vikubwa sana kwa mbapeee 😅😅😅 leo naona kijana kajua nani mkubwa kati yake na GOAT
Wapii Saint Anne 🤣🤣🤣viatu vya messi ni vikubwa sana kwa mbapeee 😅😅😅 leo naona kijana kajua nani mkubwa kati yake na GOAT
Ana haki ya kuhuzunika kwasbabu wamemfelisha teammates wake ila kuhusu yeye ajue kabisa hana lawamaMbappe ana huzuni sana maskini
Watajua wenyewe
Mpira kwao ajira, wengine mpira kwetu starehe.. kama hangover ya pombe ‘ukilala ukiamka imekata
Mie nilizima tv, nikawa nachungulia Jf kama mwizi huku nina mhaho balaa. Nikisikia huko nje wanashangilia nahisi kufakufa🤣🤣🤣😅😅😅😅 nilizima tv na kukimbia jf kwa mda nimerudi kuchungulia ndio nakuta Messi kashinda