Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hahahaha Mbappe bana alipotezwa kipindi cha kwanza vibaya mno lkn kipindi cha pili akarudi na brace then extra time ikakamilika Hat trick.
 
Usiongee ujinga wewe. Huyo Messi unayemuona leo alikuwa inspired na hao malegenderies. Hata darasani kuna 3 bora, kwenye mpira kuna wakwanza mpaka watatu bora. Kila nyanja ya matokeo mazuri 3 bora ni lazima, kombe la dunia jana katafutwa wa tatu bora, sasa ukisema umtoe PELE na MARADONA nyuma ya Messi utawaweka kina nani?
Unaongea ujinga mtupu , who is Pele , who is Maradona hebu tupa hzo takataka huko
 
1671423006922.png


Dakika 90? Ina maana kwenye zile 30 za nyongeza hawakufungana au huwa hazihesabiwi ni kama za kufikirika?
 
Ushindi huu ni kwa mashabiki maandazi na wachambuzi uchwara wote ...
Yaani Messi10 unamlinganisha na Mbappe, mtoto Bado ananuka mkojo!!! Kenchy type.... Kudakudaaadek....
 
Back
Top Bottom