themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
[emoji23][emoji23][emoji23] unganishei ID Hiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishajichora tattoo huyo ni kama kibwengo tu.
Unaongea ujinga mtupu , who is Pele , who is Maradona hebu tupa hzo takataka hukoUsiongee ujinga wewe. Huyo Messi unayemuona leo alikuwa inspired na hao malegenderies. Hata darasani kuna 3 bora, kwenye mpira kuna wakwanza mpaka watatu bora. Kila nyanja ya matokeo mazuri 3 bora ni lazima, kombe la dunia jana katafutwa wa tatu bora, sasa ukisema umtoe PELE na MARADONA nyuma ya Messi utawaweka kina nani?
Ukute mleta mada alibeti Gg both team to score sasa kuona mbili bila akaja na takwimu zake za uswazi,ona sasa anaukataa uzi wake 😁Vipi bado haina mvuto?
Ten haraka Sana wafanye.Mbappe ajengewe sanamu lake haraka sana pale France [emoji106]View attachment 2451313View attachment 2451314View attachment 2451315
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Upepo umebadilishwa na Mbappe.
Sub mbili za coman na camavinga ndio zilibadilisha mchezo mbape alikuwa anazurula tuKweli mbape amegeuza fainal mbovu paka kuwa nzuri
Moja ya fainali Bora kanisa kushuhudia ukiacha ile ya brazili na France 1998Toka kuanzishwa kwa michuano ya FIFA ya Kombe la Dunia, nadhani hii ndio Fainali mbovu zaidi.
Mchezo hauna hadhi kabisa ya Fainali.
Dah! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naomba mod rekebisheni tittel
iwe fainali ina mvuto.
Mtu vyovyote, lakini haiwezi kubadili matokeo, Messi10 mchawi was mpira huyo unamlinganisha na Mbappe mtoto Bado ananuka mkojo!!!! DaaadekAlishajichora tattoo huyo ni kama kibwengo tu.
Mpe heshima yake Mbappe usimfananishe na vibwengo.