Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Timu ya taifa imekosa hii spiritHii hali wanayokuwa nayo wachezaji wa yanga ndani ya dimba huwa inanifikirisha sana.
Wachezaji wa yanga kwa muda wa misimu hii miwili sasa, wakiingia uwanjani dhidi ya timu yoyote wanaonesha hari ya juu sana, ukiwatazama wanakuonesha kabisa kwa wanashinda mechi!
Hebu wanamichezo wenzangu tusaidiane, je hii hari wanayokuwa nayo imejengwa na kocha, ama motisha kutoka uongozini, ama aina ya wachezaji walio nao kwa sasa, ama ni nani kaijenga?!
Ngoja ni-edit mkuuHari❌
Hali✅
Ari✅
Ukisoma mada iliyoandikwa vizuri inaongeza hamasa, ukiona maandishi yana ukakasi na mengine yana "ambiguity " ndani yake unakosa nguvu ya kuendelea.
Mkuu niwie radhi.
Wewe ni muelewa sana, safi!!Ngoja ni-edit mkuu
Its something that is built from the top to bottomHii hali wanayokuwa nayo wachezaji wa Yanga ndani ya dimba huwa inanifikirisha sana.
Wachezaji wa Yanga kwa muda wa misimu hii miwili sasa, wakiingia uwanjani dhidi ya timu yoyote wanaonesha hari ya juu sana, ukiwatazama wanakuonesha kabisa kuwa wanashinda mechi!
Hebu wanamichezo wenzangu tusaidiane, je hii ari wanayokuwa nayo imejengwa na kocha, ama motisha kutoka uongozini, ama aina ya wachezaji walio nao kwa sasa, ama ni nani kaijenga?!
Nikupe namba ya Garib umuulize?Hii ari wanayokuwa nayo wachezaji wa Yanga ndani ya dimba huwa inanifikirisha sana.
Wachezaji wa Yanga kwa muda wa misimu hii miwili sasa, wakiingia uwanjani dhidi ya timu yoyote wanaonesha hari ya juu sana, ukiwatazama wanakuonesha kabisa kuwa wanashinda mechi!
Hebu wanamichezo wenzangu tusaidiane, je hii ari wanayokuwa nayo imejengwa na kocha, ama motisha kutoka uongozini, ama aina ya wachezaji walio nao kwa sasa, ama ni nani kaijenga?!
Hainaga kabisa yaaniTimu ya taifa imekosa hii spirit