Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Jaribu ku balance basi, ongelea ushoga wa waarabu pia..leo nimeleta taarifa ya maovu wayafanyayo mazayuni kuhusu ushoga mmeuondoa,
The biggest scam on earth ni mijitu kutoka California kujiiita Jews...
Na mijitu mingine kuabudu hii mijitu...
Huku wayahudi halisi "wakiteseka "hapo hapo Israel
Jaribu ku balance, ongelea ushoga wa waarabu pia..
View: https://youtu.be/j3PjJ6nhQGo?si=vfwO7jieL58IWrYy
View: https://youtu.be/_JZwtSJl_mI?si=g26dTPXyH2POzVnS
kuna ndoto zingine ni za mchana, ukifanya mchezo unaweza kujikuta umekikojolea hivihivi, kwasababu ni ndoto za mchana kabisa. wayahudi duniani wapo 16,000,000 kila siku wote walioko nje ya israel wanapambana siku moja waje kuishi israel, halafu mtu anasema nini? hiyo ipo moyoni, hao wanaotaka kukimbia ni mapandikizi tu sio wayahudi halisi.View attachment 2809930View attachment 2809931
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za maovu/uhalifu wa MAZAYUNI mnakimbilia kuuondoa au kuupeleka kwingine, leo nimeleta taarifa ya maovu wayafanyayo mazayuni kuhusu ushoga mmeuondoa, haya futeni na huu sasa!
View attachment 2809951
View attachment 2809947
Rudia kusoma caption tena, huyo ni mwandishi wa gazeti la Haaretz, na sio mwarabu wala muislamu, Ni kafiri huyo wa israelMbona hajasema kuama na kuamia Saudi Arabia, Afaghanstan, Iran, Iraq, au nchi za kiarabu... Kataja Berlin, Paris na San Fransisco ambayo kiasili ni maeneo yenye wakristo wengi...
Ukweli ni kwamba Muislamu hajioni salama mbele ya muislamu mwenzake, bali ujiona salama katikati ya wakristo
Muarabu mweusi Unaumia?!!!hapa nilipo naumia sana kuona ndugu zangu waislamu wakiteseka, wakiuawa bila hatia yoyote dhidi ya mazayuni
kuna ndoto zingine ni za mchana, ukifanya mchezo unaweza kujikuta umekikojolea hivihivi, kwasababu ni ndoto za mchana kabisa. wayahudi duniani wapo 16,000,000 kila siku wote walioko nje ya israel wanapambana siku moja waje kuishi israel, halafu mtu anasema nini? hiyo ipo moyoni, hao wanaotaka kukimbia ni mapandikizi tu sio wayahudi halisi.
Unaumia?!!!
Si ukajitoe mhanga, ujilipue huko ijulikane moja mkuu?
Kwani unateseka ukiwa wapi, Buza?
Wacha magaidi wa Hamas wanyooshwe, waliyataka wenyewe
Google Ari shebet,utakuta makala zake,ni myahudi,na Henry Kissinger 2012 alitabiri hakutakua na Israel ndani ya miaka 10,makala zipo pia mtandaoni, Kissinger ni myahudi piakuna ndoto zingine ni za mchana, ukifanya mchezo unaweza kujikuta umekikojolea hivihivi, kwasababu ni ndoto za mchana kabisa. wayahudi duniani wapo 16,000,000 kila siku wote walioko nje ya israel wanapambana siku moja waje kuishi israel, halafu mtu anasema nini? hiyo ipo moyoni, hao wanaotaka kukimbia ni mapandikizi tu sio wayahudi halisi.
Allah na chuki zake zidi ya wakristo na wayahudi mpaka aliomba kwa Mungu tuangamizwe lakini wapi, hakujibiwaJikite kwenye mada ewe myahudi mweusi, hapa nilipo naumia sana kuona ndugu zangu waislamu wakiteseka, wakiuawa bila hatia yoyote dhidi ya mazayuni waliolaaniwa, halafu ninyi wayahudi weusi msio na utu wala huruma mkichekelea
hao ni wayahudi waliochanganyikiwa ndugu wala usiwafuate. hata hivyo, hivi vifo viwe vya wapalestina au waisrael, ni kitu kibaya, wamalize vita maisha yaendelee. hamas wasitishe kurusha roketi na israel wasitishe mapigano.Google Ari shebet,utakuta makala zake,ni myahudi,na Henry Kissinger 2012 alitabiri hakutakua na Israel ndani ya miaka 10,makala zipo pia mtandaoni, Kissinger ni myahudi pia
Ungalia umepumua kwa kusikia hii habali, kwenye msafara wa kenge na mamba wapo, Wana wa Israel walipotoka Misri Kuna mamluki waliwafuata wakaandamana nao, hao ndo walikuwa wanawakatisha Tamaa Wana wa Israel, waisrael halisi wako tayali kufaa wakipambana kwa ajili ya nchi Yao, ndo maana jeshi la Israel limejaa lonely soldiers kutoka nchi mbalimbali duniani ni kitu Gani keep nawasukuma kujaa Israel na kujiunga jeshini? Ni Jews nationalism hiki kitu Kiko moyoniView attachment 2809930View attachment 2809931
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za maovu/uhalifu wa MAZAYUNI mnakimbilia kuuondoa au kuupeleka kwingine, leo nimeleta taarifa ya maovu wayafanyayo mazayuni kuhusu ushoga mmeuondoa, haya futeni na huu sasa!
View attachment 2809951
View attachment 2809947
Warudi utumwani MisriView attachment 2809930View attachment 2809931
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za maovu/uhalifu wa MAZAYUNI mnakimbilia kuuondoa au kuupeleka kwingine, leo nimeleta taarifa ya maovu wayafanyayo mazayuni kuhusu ushoga mmeuondoa, haya futeni na huu sasa!
View attachment 2809951
View attachment 2809947
ahamie gaza kwenye asaliiView attachment 2809930View attachment 2809931
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za maovu/uhalifu wa MAZAYUNI mnakimbilia kuuondoa au kuupeleka kwingine, leo nimeleta taarifa ya maovu wayafanyayo mazayuni kuhusu ushoga mmeuondoa, haya futeni na huu sasa!
View attachment 2809951
View attachment 2809947