Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Beduin ni kabila ka watu weusi waislael kutoka Etheopia. Nikajiuliza inakuwaje hao waislael wawe weusi tii halafu kuna waislael weupe pee. Imekuwaje jamii moja iwe na watu wawili wenye Rangi tofauti wasio na mfanano kabisa.The biggest scam on earth ni mijitu kutoka California kujiiita Jews...
Na mijitu mingine kuabudu hii mijitu...
Huku wayahudi halisi "wakiteseka "hapo hapo Israel
Kuna kundi moja limejipa nasaba isiyoyake.
Vinginevyo kama waislael ni dini sio nasaba sawa ila kama ni DNA basi tumeoigwa