Marehemu ni mtu aliyekufa, kisomo hakimsaidii chochote.Aliyekuambia Zari ni muislam nani? Kisomo kinamsadia nini marehemu?
Mpe kubwa huyounajua unapenda kuongea tu wewe
Umenichekesha sana aisee quote of the monthcotton and condition of you
pambana na hali yako
Kuuza kashata kwa wanaume waongopee zinaongeza nguvu za kiumeKila mtu na maisha yake na ndugu zake hayatuhusu, maisha magumu nawaza nianzishe biashara gani nipate hata buku buku kwa siku.
0620777666mmnh Zari nakutafuta,kama kuna mtu ana mawasiliano ya Zari ya moja kwa moja anipe please
M2 anapnga au anaamua namna yskuishiii anishi apendavyo cio mpendavyoLeo ni arobaini ya marehemu mama Zari huko Uganda, badala Zari apande ndege akamfanyie kisomo mama yake kaenda Madale kufanya shooting ya muziki wa Diamond.
Kweli Zari kakosa hela ya kumfanyia mama yake arobaini kweli? Ikumbukwe siku saba baada ya mama Zari kuzikwa Diamond alimchukua Zari wakaenda honeymoon ya msiba Mombasa.
Hivi angekuwa amekufa mama Diamond, asingeombolezewa kwa taratibu zote za kiislam? Wanawake tujifunze kuheshimu dini zetu na familia zetu, Diamond ana mama yake ana kazi yake inastawi.
Zari nae Wasafi wanamtumia tu hao kina Tale ni wanafiki tu. Wapenda kiki hao wakishamtumia watamtupa kule.
[emoji106]Hakuna kitu kizuri kama kuacha mtoto mwema duniani akuombee dua pindi uwapo kaburini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji106]Ila watu bana sasa ww ayo yanakuhusu au uyo zari ni mwanao acheni kupangia watu maisha yao ivi hamuoni aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooooo!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Rich life style
Zari has sacrifice her mother for fame and wealth.