uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
- Thread starter
-
- #21
Yani sisi Arsenal kuchukua kombe mara moja kwenye miaka yote hiyo ndo mnaona kama tutafaidiika!
Mbona nyie mmechukua mara kibao, tena mlikua mnapokezana kabisa.
Chuki zitawaua nyie maibilisi wekundu!
Unadhani mpira wa Ulaya kama
Bongo kwamba lazima uwe MAyele au Chama ndio ushinde
Mpira saivi ni formula tu ukiingia
Kwenye mfumo wa mtu unakaa
Hata angekuwa Beki Onyango au Kipa Ahmada Arsenal watabeba tu[emoji28][emoji28][emoji28]
Msimu huu arsenal tayari kamfunga chelsea, liverpool, spurz mkubwa aliempiga arsenal ni man u tu na man city bado hajacheza nae ukiachana na hao kuna newcastle ambae safari hii anasumbusumbua hata watoto wanaosumbua vigogo wakina brighton na brentford uko gunners anawapiga kiulaini tu labda useme atakosa kombe akianza kupata majeruhi ya wachezaji muhimu maana arteta hana kikosi kipana
Huyo wa man atafukuzwa kabla ya jua kuchwaUkweli ni kuwa arsenal anaongoza ligi kwa bahati bahati hivi ngekewa ngekewa hivi utani utani hivi.
Arsenal amecheza mechi ngumu moja tu ya manchester united hawa ndio walimpa challenge.
Kwahiyo vijana na mashabiki wa arsenal wasije weka matarajio ya ubingwa.
Bahati ya leicester city kuchukua ubingwa kibahati bahati haiwezi kujirudia.
Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na beki mbovu km saliba na margheles. Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na golikipa kimeo km yule.
Uchukue ubingwa nketia au Jesus ni forward? Huu utani wa kijinga kabisa wenzao leicester walikuwa na vardy ngolo,mahrez walikuwa wakali kuliko saka,martnel na partey.
Nakubali wachezaji km saka,partey na martinel wanauwezo wa kuridhisha ila sio hatari hawajafikia ubora wa juu.
Arsenal atafuzu UEFA ila ubingwa wa epl hawachukui.
na yule kocha wa manchester united anaweza akashinda ligi mapema kuliko kocha wa arsenal kwasababu kocha manchester united anampa wakiutu uzima zaidi km alivyo ancelot wa madrid.
Bado una safari ndefu sana ya kujifunza mpira
Nyie endeleeni kuwa vichwa ngumu hivyo hivyo, siku ikifika Arsenal anabeba ubingwa mkatundikiwe dripu hospitalini..
Arsenal wanasema "mwaka huu ngoma ya watoto itakesha". Nasema hivyo kwa sababu kuna watu wana tabia ya kuidharau sana arsenal wanadai ni watoto na wanadai ngoma ya watoto haikeshi!!
Sisi tunashinda game zetu, mwisho wa ligi mtachagua wa kumpa kombe.
HahahaSio man city tu round ya pili atapigika na timu kubwa zote
Hebu taja timu yako ngumu ambayo unaona kabisa inaweza kufanya Arsenal asiwe Bingwa?
Arsenal inakikosi cha kawaida haina kikosi cha kubeba ubingwa
Arsenal alicheza na liverpool na chelsea zikiwa icu
Spurs huwa simuhesabu km kigogo
Kuchukua ubingwa sio huruma ni uwezo
Kwa hiyo ni hakuna timu ngumu sio?Liverpool na chelsea zilikuwa ICU wakati wanacheza na arsenal
Kwahiyo Chelsea ya kipindi kile na Chelsea ya saizi ipi ina unafuu?Liverpool na chelsea zilikuwa ICU wakati wanacheza na arsenal
Umeuanza mwaka vibaya ndugu, sasa mbona tabu utaipata sana.... maana hao hawashiki mpaka may.......Mzunguko wa pili arsenal ataondoka mazima pale juu ndani ya mechi sita zijazo
Huo mzunguko wa pili we unadhani timu gani zinaweza kumshusha ARSENAL hapo juu?Mzunguko wa pili arsenal ataondoka mazima pale juu ndani ya mechi sita zijazo
Haya waambie manyumbu wenzio kuwa hizo goli 3 hazikuweza kumshusha Arsenal hapo kileleni
Liver huyo uyo alimpiga man city.. mpe gunnerz pongezi zakeArsenal alicheza na liverpool na chelsea zikiwa icu
Spurs huwa simuhesabu km kigogo