uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
- Thread starter
- #21
Kuchukua ubingwa sio huruma ni uwezo
Yani sisi Arsenal kuchukua kombe mara moja kwenye miaka yote hiyo ndo mnaona kama tutafaidiika!
Mbona nyie mmechukua mara kibao, tena mlikua mnapokezana kabisa.
Chuki zitawaua nyie maibilisi wekundu!