Arsenal na Manu; Nani Kununa Jumamosi?

Arsenal na Manu; Nani Kununa Jumamosi?

Hili aliliona hata Jose Mourhino, OT kutakuwa na maamuzi ya kizushi, Red Card, penalti zidi ya timu pinzani, uamuzi wa ovyo ovyo kufavor manure...inaudhi!

Yah, waamuzi wanaboronga sana mechi za Man U na hawakuanza leo. Ila wacha maringo ya FA yatafikia ukomo hivi karibuni pale klabu zitakapoanzisha ligi yao, kwani nani ataka ujinga? Watu wanahangaika kununua wachezaji kuwekeza fedha zao kwenye klabu halafu refa aje atie kitumbua kwa penati za kijinga? Kama leo naona kuna tukio Nani na Sagna wanagombea mpira, Nani anafanya last touch, Sagna anashangaa kisha anamlaani refa, refa kwa kibri kabisa anampa kadi wakati kosa ni lake!
 
Hapana kiongozi, Hunterlaar yupo AC Milan na nilitegemea leo angekuwepo kwenye XI kwenye hii derby. Sielewi nini kimejiri naona pale mbele amenza huyu dogo Pato na Borrelo.

Hata ivyo sasa ivi hata akiingia pilau ishaingia maji, hakuliki hakupakuliki.


Right

Klaas Jan Huntelaar, In August 2009, transferred to [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Serie_A"]Serie A[/ame] club, A.C. Milan ,for €18+2 (additional) million, signing a four-year contract. (wikipedia)
 
Duh, huyu Sneijder anatisha. He he he naona mzee wa swaumu, Muntari anaingia sasa..
 
Acheni kelele za kitoto....! Kama sio nani na Berba kukosa zile goli za wazi, leo ingekuwa kichapo cha uhakika (Kama foster asingetuokoa na ile save against Van Puse, tungelala...)

Kipa kamuangusha mtu na sheria ni penalty. Kama unadhani hiyo ni soft, je umeona ile waliyopewa Real leo dhidi ya Dep ?

Obvious first half arsenal walifunika na wangeweza kufunga magoli mengi. Lakini, the usual arsenal ya last years, chenga twawala sana na then wanaishia kupoteza points.

Second half tuliweza kuwabana hasa baada ya kuingia Park, maana huyu ana mapafu double na aliweza kumzuia Clinchy kupanda sana.

Kuhusu goli dk za mwisho, obvious Galas alikuwa kaotea zamani na kibendera kilikuwa juu !
 
This is an embarrassment to AC Milan... Hunterlaah anachukua nafasi ya Ronaldino
 
Nilisema baada ya goli la pili Milani kwisha kazi. Sneijder anasukuma gozi kinoma. Internazionale naona wana mmiss Zlatan.
 
Nilisema baada ya goli la pili Milani kwisha kazi. Sneijder anasukuma gozi kinoma. Internazionale naona wana mmiss Zlatan.
hawa mmiss zlatan ,etoo anawatosha cha ajabu sasa hivi naona kama wako wengi sasa manake balotelli alikuwa nje na dogo ni mchezaji mzuri sana .
 
Siku zote Man u ndiye humtibulia asernal kwenye ligi.
Nawashauri asernal wanyamaze. Man U ni wababe wao tu.
 
Mbona mnabadilisha tread ni MANU VS ARSENAL ,
AC Milan kazi wanayo huu ni wakati wa kutimua wachezaji kama Gatuso,Ambrosini,Zambrota
 
Icadon, Belo, Manda wako wapi?
Mkubwa beta late than NEVA!!

Ica nahisi kahamia kimoja NBA, sijui akijatokea Hasheem mwingine kama hata JF atahama moja kwa moja....

Awa 'babies' bora tumewa-silence mapema manake washa anza hisi watabeba treble...

Go United!
 
Nipo mkubwa ICADON ndio kapotea ,tatizo lako mkishinda ndio unaonekana

...yupo, sema anashabikia Man City siku hizi hata leo kaweka bandiko jingine kule akisubiria kifungo cha UEFA kama Avatar ya Eqlypz inavyosema 😀😀😀
 
Back
Top Bottom