Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 998
- 34
![]()
Boys msijali sana kufungwa kwa uma....tutawafuta machozi Chelsea tukikutana nao!
Ha! Ha! Hapo mzee unagusa pabaya....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
Boys msijali sana kufungwa kwa uma....tutawafuta machozi Chelsea tukikutana nao!
wenger nae mbishi lol,mpira umeisha unataka kukaa uwanjani akati unaambia uondoke yanini sasa? huyu wajina kiboko kweli degree ya uchumi inamchanganya akili .
mkuu nakuona unaweka comments za ushindi mpaka kwenye post za kubenea loool.hongera sina uchungu sana kwa vile timu yangu nimeikubali kwamba tuko powa just bad luck leo.tumuangalie etoo sasa hapa.Hahaah nimejikuta nacheka baada ya kusoma hiyo post lol....!!
mkuu nakuona unaweka comments za ushindi mpaka kwenye post za kubenea loool.hongera sina uchungu sana kwa vile timu yangu nimeikubali kwamba tuko powa just bad luck leo.tumuangalie etoo sasa hapa.
hivi wewe ushafungwa mechi ngapi na timu gani? alafu ndio ujaribu kufikiria mbele.sisi tuko powa sana na nakubali we help man united to come back to the game,they were lost.
Haha kwa kube..who? Ebanae nawaangalia hapa naona AC wameanza mechi vizuri. AC Milan bila Maldini naiona tofauti lol.
Haha kwa kube..who? Ebanae nawaangalia hapa naona AC wameanza mechi vizuri. AC Milan bila Maldini naiona tofauti lol.
Duh, hii vunavuna ya penati naona na Etoo na yeye kavuna ya kwake. 2-0 Inter.
Gattuso kala red..he he he..mi ndo maana sipendagi kuangalia Serie A..
Kocha wa AC Milan naye ni kituko kama Wenger, Gattuso aliposababisha penalti ni kama aliomba kutoka alivua hata ile captain arm band, ajabu akamwacha matokeo kala red....huyu Gatusso sijui kama ni Mzima! Una yellow card unafanya tackle ya kipuuzi kwa Sneijder ....Etoo kapiga la 3!
Gattuso kala red..he he he..mi ndo maana sipendagi kuangalia Serie A..
Kocha wa AC ni kiungo mahiri wa zamani Leonardo. Gattuso kaumia na alikuwa anavutavuta muda ili Seedorf aingie, lakini ndo ivo tena jamaa hamnazo akafanya tackling nyingine. Aliyefunga goli la 3 ni huyu mkoba Maicon. Naona magoli bado yapo maana Eto hajatakasa nyota bado. Halafu Hunterlaar yu wapi?
Man of the match: Tough call but Wayne Rooney looked a clas act throughout, setting up plenty of attacks and creating the penalty for United's opening goal.
Hii mechi AC MIlan wameshafungwa tayari.
MTM sijui channel gani wanaonyesha mechi.
Mzee wa Totenham alikuwa anamtaka nadhani ameopt kwenda Ujerumani!
Talking point: Are United guaranteed a penalty at Old Trafford? Should they start games there 1-0?
Hata Arsenal nao siku izi wanazivuna penati, lakini nadhani Man U ni spesho kes huenda kuna umafia nyuma ya pazia huwezi jua waamuzi kwanini wa-act strangely kwenye games za Man U.