Aisee mimi naongelea facts wewe unaleta story....Usijisifu una mbio msifu na anae kukimbiza # aseno atatoka kapa msuli huu (kumbuka maandishi yangu)View attachment 2559153
City kabakiza timu laini,ila uefa ndo inaweza kumchanganya akapelekea kudondosha point huku kwenye leagueUsijisifu una mbio msifu na anae kukimbiza # aseno atatoka kapa msuli huu (kumbuka maandishi yangu)View attachment 2559153
Kati ya hizo mbili atakazokosa aki-draw na Man City badala ya Kukosa / Kufungwa bado ni advantage Arsenal..., hio ndio tunaitwa "Its in their Own Hands" na sio hivyo tu bali wana a "Buffer Zone"Hawezi kushinda zote hizo, atakosa zaidi ya mbili
unahisi man city ni wa kumuacha kirahisi hivyo wakati na yeye anazitaka hizo points?Kati ya hizo mbili atakazokosa aki-draw na Man City badala ya Kukosa / Kufungwa bado ni advantage Arsenal..., hio ndio tunaitwa "Its in their Own Hands" na sio hivyo tu bali wana a "Buffer Zone"
Hata angebakiza mechi za City A dhidi ya City D; Arsenal akifanya yake haitaji kujua what happens pengine..., Mbili ukiangalia City kapoteza Points wapi unaweza ukasema ni wataalamu wa kulikoroga....City kabakiza timu laini,ila uefa ndo inaweza kumchanganya akapelekea kudondosha point huku kwenye league
Mfano kama hyo game na southampton hapo lazima adraw
Kwani mpira kuna kuachiana ? Ni ngumu kuifumua timu inayokuja kwa kutafuta Point kuliko inayokuja kwa kufunguka...... Udhani José Mourinho alipata vipi Sifa na Basi lake....unahisi man city ni wa kumuacha kirahisi hivyo wakati na yeye anazitaka hizo points?
Tena far apart from man city atapigwa na teams nyingine tu
With Halland on Fire only the Uninformed will back Arsenal to overcome Man City Goal Difference..., Its Possible Mathematically but not realistic...City akishinda game zote zilizobaki, uwezekano wa kuchukua ni 99% unless arsenal awe anashinda kwa atleast GD ya 3+ kila game (napo itategemea city anashinda ngapi kwenye mechi zake)
Kwamba Mungu anapatikana Emirates na Etihad hayupo....Japo mm sio shabiki wa arsenal ila naahid,
Wana arsenal Mwenyez MUNGU akijaalia ubingwa ukawa wenu this 2023
Yaan WATAKAO KUA NA MUDA WAKAZI WA DAR
TU ORGANIZE NAJITOLEA MBUZI MMOJA TUTATAFUTA VENUE
KWA WATAKAO KUA NA MUDA TULE MBUZI WETU,
MAANA NI THE LONG WAIT NAKUMBUKA MARA YA MWISHO NI MSIMU WA 2003/2004
"Arsenal last won the Premier League in the 2003/04 season. This campaign is obviously famously remembered as the club's 'Invincibles' year"