Arsenal (The Gunners) akishinda mechi 9 Kati ya hizi 10 Ubingwa ni wako

Arsenal (The Gunners) akishinda mechi 9 Kati ya hizi 10 Ubingwa ni wako

Ajabu ni kwamba na Draw ya jana huenda bado hali ni ile ile Six Pointer na Man City asifungwe..., ila hii tabia ya kupoteza two goals lead inaonyesha Tatizo kubwa zaidi Naona kuna Potential Banana Skin kwa Chelsea na Newcastle ukinibana sana hata Brighton na Wolves sio Vibonde...

  • Southampton (home)
  • Man City (away)
  • Chelsea (home)
  • Newcastle (away)
  • Brighton (home)
  • Nottingham Forest (away)
  • Wolves (home)
 
Ajabu ni kwamba na Draw ya jana huenda bado hali ni ile ile Six Pointer na Man City asifungwe..., ila hii tabia ya kupoteza two goals lead inaonyesha Tatizo kubwa zaidi Naona kuna Potential Banana Skin kwa Chelsea na Newcastle ukinibana sana hata Brighton na Wolves sio Vibonde...

  • Southampton (home)
  • Man City (away)
  • Chelsea (home)
  • Newcastle (away)
  • Brighton (home)
  • Nottingham Forest (away)
  • Wolves (home)
Hizo game zilizobaki ni za moto kuliko hata zilizopita
Niseme tu kwa upumbavu walofanya jana hawa ndugu zetu ubingwa watausikia tu
 
Hizo game zilizobaki ni za moto kuliko hata zilizopita
Niseme tu kwa upumbavu walofanya jana hawa ndugu zetu ubingwa watausikia tu
Sidhani kama walipoteza Game Jana tu, Tena kinachotisha ni kupeteza a Two Goals Lead mara mbili mfululizo unaweza ukasema Pressure is getting to them na wakiendelea hivi wanaweza hata mechi na Forest wakafungwa au Draw... (Huo ndio Mpira)

Tukiongelea Ujinga mimi naweza kusema ujinga unafanyika Chelsea na Man City; Kwa Squad waliyonayo Chelsea Wasingekuwepo pali walipo; Na Man City with their Squad and Talent they should have walked the League ila ndio hio Pep Sometimes ana-overdo / overthink / over-complicate mambo......

You only need a Good Keeper, 9 Grafters and a Goalscorer to win the league.... (Simple)
 
Hakuna namna tena Draw won't cut it ni kumfunga City Tu... (Naweza kusema ni Advantage City)

  • Man City (away)
  • Chelsea (home)
  • Newcastle (away)
  • Brighton (home)
  • Nottingham Forest (away)
  • Wolves (home)

Ila na hii defense yao ya sasa bila Saliba Isije ikawa ni massacre hapo Etihad....
 
I Really Fear for the Gooners.... Defense inavyovuja, na wanahitaji kushinda na Goal Mashine Halland akiwa on the other Side...; It can be a Massacre
 
Although sipendi Arsenal ashinde lkn naona kama leo wanaenda kushinda na vilevile watabeba hili kombe la EPL.
 
Although sipendi Arsenal ashinde lkn naona kama leo wanaenda kushinda na vilevile watabeba hili kombe la EPL.
Na hii deduction inatokana na Footballing Knowledge; Hunch au Kitu gani ? (Unajua its no longer on their hands)? Hawa washinde leo kuna Newcastle; Brighton na Chelsea wakipata Manager mpya kuna kitu kinaitwa New Manager Syndrome
 
Back
Top Bottom