Mimi ni arsenal, ila kwa hili nakataa Kumbuka ume tuandalia ubingwa kila msimu[emoji23][emoji23]
View attachment 3196273
hahaha, eti mchambuzi nguli.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa katelekeza kabisa jukwaa, nakumbuka alimuahidi mtoto wake msimu uliopita kuwa arsenal akibeba ubingwa sijui atamnunulia nini.
Yan anamchosha dogo kwa ahadi hewa wakati anajua kwenye moyo wake arsenal hata iwe nini hawezi chukua epl.
Liverpool kwenye uwanja wao wa Anfield anaweza kumpiga Spurs zaidi ya goli 3 akasonga mbele, je nyinyi Arsenyau mnauwezo wa kuwapiga Magpies goli 3-0 pale St. James' Park?Naona washkaji wa kuku wamepunguza kuingia humu baada ya jana [emoji28]
Hivi vitu vinachekesha sana
Kwanini isiwezekane?Liverpool kwenye uwanja wao wa Anfield anaweza kumpiga Spurs zaidi ya goli 3 akasonga mbele, je nyinyi Arsenyau mnauwezo wa kuwapiga Magpies goli 3-0 pale St. James' Park?
[emoji2][emoji2]Mimi ni arsenal, ila kwa hili nakataa Kumbuka ume tuandalia ubingwa kila msimu[emoji23][emoji23]
View attachment 3196273
Sijui Arsenal wanakwama wapi?Everton wameachana na Sean Dyche
Maresca amekalia kuti kavuSijui Arsenal wanakwama wapi?
Tumpe mwaka kwanza, kwa hii miezi sita utakua unamuonea.Maresca amekalia kuti kavu