Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Kocha msenge yule.Tutazunguka zungukaa mpaka dakika ya mwisho
Rudisheni sadaka za watu kwanza la sivyo mtateseka mpaka msimu unaisha huuHii ndo timu yetu sasa, upuuzi mtupu
Binafsi naamini Bruno na Martinez walitakiwa wawe wametoka. Mnacheza rafu sanaRefa amehakikisha kila mchezaji wa Man U ana yellow. Na sasa amempa Dalot yellow ya pili.
Waache tu bado hao wawiliBinafsi naamini Bruno na Martinez walitakiwa wawe wametoka. Mnacheza rafu sana
Sasa hivi wanampiga KaiWaache tu bado hao wawili