Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Adi za bongo??Score808, game zote muda wote
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Goli halali la mkono sio?Tumenyimwa goli halali
Hilo hilo kizimkaziUnakuta jitu Hilo Hilo ni Arsenyeto, Hilo Hilo ni Yanga, Hilo Hilo ni team mbowe 😀😀😀
Za bongo hapana, ila game za CAF unaangaliaAdi za bongo??
Shukran chiefZa bongo hapana, ila game za CAF unaangalia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unamaanisha tumbo la Havertz siku hizi linakaa mkononi au mimi ndio sijaelewa vizuri?Waswahili watasema tuna mikosi.
Yaani VAR wameangalia ule mpira umemgonga Havertz tumboni na wakasema handball kweli? Mimi naendelea kusema ukweli ninaohisi kuwa officials wako dhidi yetu kuliko wengine.