100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
- Thread starter
-
- #41
Huwezi sema calculator ina akili kuliko wewe kwa sababu inaweza kufanya hesabu ya kuzidisha na kupata jibu haraka zaidi yako.Tayari AI na hata search engines kama google zinamzidi akili binadamu kwa sababu zinauwezo wa ku-retrieve information nyingi sana ambazo binadamu hawezi kuwa nazo, labda useme AI haiwezi kuwa na ubinadamu kamili kama binadamu, yaani kuwa na feelings, emotions nk.
Ndio akili yenyewe, au vitu vinavyo trigger akili na kufikiri.Huzuni, furaha, wivu nk.. siyo akili bali ni hisia..
Haha....hayo pia malengo Ya AI mkuu, Ai haiendelezwi kuwa na EQ bali ni kuwa na uwezo wa kutambua(detecting) na kufanya reasoning juu ya hisia za kibinadamu.Kwamba AI ifike nusu ya akili ya mwanadamu.
Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani n.k..
Dah, niseme tu AI kufikia hizo level itaanza vita na mwanadamu hapo ndipo tunarudi kwenye filamu kama terminator n.k, ni fiction tu mkuu.
Wanaoongoza nchi walikuwa wanawaagiza toka Nigeria, wakaishia wote wawili kufa.Wazungu wanakwenda mbele sisi tunarudi nyuma.
Mapimbi wamepanga foleni 24/7 kwa Mwamposa kupata maji na mafuta ya upako
Mkuu kwani akili ni nini?Kwamba AI ifike nusu ya akili ya mwanadamu.
Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani n.k..
Dah, niseme tu AI kufikia hizo level itaanza vita na mwanadamu hapo ndipo tunarudi kwenye filamu kama terminator n.k, ni fiction tu mkuu.
Ni vitu vinavyopelekea jinsi tunavyotafakari, kufanya maamuzi na kutatua changamoto mbalimbali, kuna uhusiano kati ya vitu hivyo na kutafakari kwa mtu kitu ambacho AI haiwezi.Mkuu kwani akili ni nini?
Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani .....ni akili? [emoji848]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nini tofauti ya Mind, knowledge & intelligence?Ni vitu vinavyopelekea jinsi tunavyotafakari, kufanya maamuzi na kutatua changamoto mbalimbali, kuna uhusiano kati ya vitu hivyo na kutafakari kwa mtu kitu ambacho AI haiwezi.
Nimeiuliza AI:"AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo"
The statement "AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo" is false.
AI stands for Artificial Intelligence, which is the ability of a computer or machine to mimic the cognitive functions of a human, such as learning and problem-solving. Automated Intelligence is a subset of AI that refers to the use of computers to automate tasks that would otherwise be performed by humans.
While automated intelligence is a part of artificial intelligence, it is not the only part. Artificial intelligence also encompasses other areas such as machine learning, natural language processing, and computer vision.
Here are some examples of artificial intelligence:
These are just a few examples of the many ways that artificial intelligence is being used today. As technology continues to develop, we can expect to see even more innovative and groundbreaking applications of AI in the years to come.
- A self-driving car that uses sensors and cameras to navigate the road and avoid obstacles.
- A virtual assistant that can answer questions, book appointments, and make recommendations.
- A spam filter that can identify and block unwanted emails.
In conclusion, the statement that "AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence" is false. Artificial intelligence is a broad term that encompasses a variety of technologies, including automated intelligence.
... Na huu ndio ubinaadamu wenyewe.Huenda tunatofautiana kwenye uelewa na mitazamo.
Nimezungumzia AI kwa ujumla, nafahamu kuna vitu kama deep learning ambayo ni subtype ya machine learning na machine learning ni subset ya AI.Mkuu kwanza nikupongeze kwa thread nzuri sana ya AI japo umebase upande mmoja. Maelezo yako mengi yameegamia kwenye SIMPLE AI ambayo inakuwa controlled na mwanadamu mwenyewe. Hii kwa kiasi kikubwa upo sahihi lakini tukija upande wa pili sidhani kama upo sahihi.
Ikikupendeza zaidi soma vizuri kwanza nini maana ya neno ARTIFICIAL.
Then
1. Artificial intelligence ni nini?
2. Aina zake ni zipi? (Hapa ndipo utakuta kuna moja ambayo sometimes inaweza kujicommand yenyewe na ndiyo inaogopwa kwamba how siku ikitokea ikareact tofauti na matarajio ya mwanadamu?
3. AI future yake ni ipi? ....pointi ya 3 inakufanya usiangalie miaka ya leo au miaka 10 ijayo bali anzia miaka walau 50-100 ijayo. Kama leo watu wanaanza kutengeneza wanawake wa bandia kama yule Manuel Pellegrin.... Saudia wana Sophia then kuna ELIZA ambaye watu wa IPhone wanamuita SIRI vipi kuhusu miaka 100 ijayo?
Kuhusu biashara upo sahihi, watu wanaitumia kwenye brand zao kupiga pesa hiyo ni OPPORTUNITY COST acha wajanja wale pesa.
Ukitaka kuichimba deep msome JOHN MCCARTHY. Utaijua AI ndani nje na future yake hasa ni ipi.
Mwanafizikia mkubwa HAWKING aliwahi kusema kwamba AI inaweza kuwa ni kitu bora zaidi dunia kuwahi kukipata au kitu cha hatari zaidi kuwahi kutokea duniani hususani hizo complex AI ambazo zina uwezo wa kujicommand zenyewe. Akaandika mpaka barua ya wazi kwamba isije kutokea ikaanza kutumika kwenye vita hususani matumizi ya nyukilia kwa sababu madhara yake ni hatari mno.
Kama saivi tumeanza kuletewa neurolink, watu wanatengeneza chip ambazo zinaweza kurekodi ndoto kisha ukaja kuitazama baadae. Watu wanatengeneza chip ambazo ukiwekewa kichwani wanaweza kufuta kumbukumbu zako zote and still unahisi ni ulaghai mkuu?
Huenda tunatofautiana kwenye uelewa na mitazamo.
Naheshimu mtazamo wako na asante kwa somo zuri.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kuna zaidi hasa kwenyenyanja za AfyaHivyo nimeeleza labda kama utakuwa unamaanisha aina nyingine ya AI.
AI na mwanadamu kuna tofauti kubwa si kidogo.Nini tofauti ya Mind, knowledge & intelligence?
Na hapo mwanadamu na AI unatofautisha vipi?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???Mwaka 1997 IBM walitengeneza computer ikiitwa Deep Blue ikamshinda bingwa wa chess duniani aliitwa Garry Kasparov, watu wakaona dunia inaingia kwenye nyakati computer inakwenda kumzidi binadamu akili lakini si kweli, miaka ya1950' hadi 1960's kuna wanasayansi wakasema kuna robots zitakuja kufanya kazi kama mwanadamu matokeo yake walipata machine za kufulia, oven, vifaa vya kupika jikoni n.k, hadi leo haikutokea.
Artificial Intelligence ni ulaghai, ni brand, wafanyabiashara wapiga pesa Elon Musk na Billgate niliwasikia wakizungumza kuhusu hatari ya AI.
Lakini naona hao ni wafanyabiashara tu hakuna lolote, Elon Musk anasema AI ni hatari sana zaidi ya silaha za nuclear na watu wasiichimbe sana cha ajabu Musk ndio anaongoza msafara hivi sasa kufanya R&D juu ya robots zake za Tesla Bot.
Na wengi tunapoambiwa kuhusu AI tunawaza mfano wa machines au robots ambazo zina akili kumkaribia binadamu au sawa na binadamu zinaweza kufanya kazi, kuendesha gari, kufikiri , kukimbia na vitu vingi ambavyo mwanadamu hufanya, lakini hakuna kitu kama hiko. Na wengi wetu tunafikiri na kuogopa AI kwamba inakuja kureplace kazi nyingi.
Tech giants companies kama Google, Microsoft n.k wanaingiza pesa ndefu sana kupitia bidhaa za AI hivi sasa, bidhaa ikitoka ikitambulishwa tu kwamba ina AI basi tegemea watu kuitumia na kuinunua kwa wingi bidhaa hio.
Ukiingia youtube matangazo ni AI, Quora sasa wana AI, opera browser wana AI, software nyingi za kazi mfano microsoft office , photoshop, after effects n.k zina AI. Tech companies zinatembea na upepo wa AI si mchezo, hivi sasa si ajabu ukaenda kununua radio au Tv dukani na ukakuta imewekwa nembo kwamba inatumia AI.
Katika neno investors wameongoza kulitafuta google hivi karibuni ni AI, watu wana invest sana kwenye bidhaa za AI, nadhani ni biashara ya kwanza itawapa watu utajiri wa trillion dollar.
AI systems mfano ChatGPT zinakuwa trained kwa kulishwa data kwa kiasi kikubwa sana kutoka mtandaoni, kwanza hata ChatGPT yenyewe unapoiuliza huwa haifahamu ilichojibu kinamaanisha nini, ni kweli ama uongo, computer haipo emotion, computer haina critical thinking kama mwanadamu, AI tunaiweka kwenye automation, ni automated intelligence.
Mfano ChatGPT inapojibu huwa inaweka neno linalofuatia kwa kuangalia zaidi statistics kwa sehemu kubwa ni neno lipi limetumika zaidi linalofuatia, na hizi data ni binadamu kaandika zipo online, inachota mamia ya terabytes za data na kufanya pattern matching n.k kupata jibu.
AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo.
AI inaweza kufanya specific tasks ambazo imekuwa programmed kufanya.
AI haina IQ, inafuata kile mwanadamu ame program ifanye.
AI siku zote itategemea ni kipi tuilishe, na vipi tuna i structure, AI ni computational mathematics applied to automation.
Movies na novels zimetudanganya pakubwa. Wafanya biashara wakubwa kama Elon Musk na maneno yao ya kutisha watu kuhusu AI ni ku hype wazidi kupiga pesa kiulaini.
Hakuna Intelligence ambayo ni artificial.
Wayahudi weusi mna shida sana.Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???
Wayahudi weusi mna shida sana.
Mmekaa mnawaangalia wayahudi wenzenu wakipinga biblia agano jipya na kupinga vikali mafundisho ya Yesu na nyie wayahudi kutoka Namtumbo mnawatizama tu jinsi wanadhalilisha kitabu kitakatifu?