Artificial Intelligence ni ulaghai

Artificial Intelligence ni ulaghai

Tayari AI na hata search engines kama google zinamzidi akili binadamu kwa sababu zinauwezo wa ku-retrieve information nyingi sana ambazo binadamu hawezi kuwa nazo, labda useme AI haiwezi kuwa na ubinadamu kamili kama binadamu, yaani kuwa na feelings, emotions nk.​
Huwezi sema calculator ina akili kuliko wewe kwa sababu inaweza kufanya hesabu ya kuzidisha na kupata jibu haraka zaidi yako.
 
Kwamba AI ifike nusu ya akili ya mwanadamu.

Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani n.k..

Dah, niseme tu AI kufikia hizo level itaanza vita na mwanadamu hapo ndipo tunarudi kwenye filamu kama terminator n.k, ni fiction tu mkuu.
Haha....hayo pia malengo Ya AI mkuu, Ai haiendelezwi kuwa na EQ bali ni kuwa na uwezo wa kutambua(detecting) na kufanya reasoning juu ya hisia za kibinadamu.
Kuna tawi la.kisayansi linalofahamika kama.Neuroscience , mambo kama ya Neurolink n.k , sasa hii sayansi yenyewe ipo katika hatua za.ukuaji , assume ndani ya miaka hamsini ijayo maendeleo yake yatakuwaje , AI zitaweza kuunganishwa na ubongo wa binadamu ili kujifunza namna ubongo unavyofanya kazi specifically kwenye maswala ya EQ na hio itakuwa ni hatua kubwa.

Wanasayansi wakubwa wanahofia AI kuwa tishio kwa binadamu kwasababu inaweza kufikia hatua kujitengenezea uwezo wao wenyewe wa kiakili tofauti na ule unaokusudiwa sasa hapa ndio tatizo kwasababu kama ni roboti lina akili litakuwa linamjua binadamu nje ndani na akiamua kutumia taarifa zako kukuangamiza huchukui muda ..Teknolojia kwa kasi yake ya ukuaji ni swala ambalo tu apaswa.kuwa nalo makini.
 
Kwamba AI ifike nusu ya akili ya mwanadamu.

Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani n.k..

Dah, niseme tu AI kufikia hizo level itaanza vita na mwanadamu hapo ndipo tunarudi kwenye filamu kama terminator n.k, ni fiction tu mkuu.
Mkuu kwani akili ni nini?


Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani .....ni akili? [emoji848]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa thread nzuri sana ya AI japo umebase upande mmoja. Maelezo yako mengi yameegamia kwenye SIMPLE AI ambayo inakuwa controlled na mwanadamu mwenyewe. Hii kwa kiasi kikubwa upo sahihi lakini tukija upande wa pili sidhani kama upo sahihi.


Ikikupendeza zaidi soma vizuri kwanza nini maana ya neno ARTIFICIAL.

Then
1. Artificial intelligence ni nini?
2. Aina zake ni zipi? (Hapa ndipo utakuta kuna moja ambayo sometimes inaweza kujicommand yenyewe na ndiyo inaogopwa kwamba how siku ikitokea ikareact tofauti na matarajio ya mwanadamu?

3. AI future yake ni ipi? ....pointi ya 3 inakufanya usiangalie miaka ya leo au miaka 10 ijayo bali anzia miaka walau 50-100 ijayo. Kama leo watu wanaanza kutengeneza wanawake wa bandia kama yule Manuel Pellegrin.... Saudia wana Sophia then kuna ELIZA ambaye watu wa IPhone wanamuita SIRI vipi kuhusu miaka 100 ijayo?

Kuhusu biashara upo sahihi, watu wanaitumia kwenye brand zao kupiga pesa hiyo ni OPPORTUNITY COST acha wajanja wale pesa.

Ukitaka kuichimba deep msome JOHN MCCARTHY. Utaijua AI ndani nje na future yake hasa ni ipi.


Mwanafizikia mkubwa HAWKING aliwahi kusema kwamba AI inaweza kuwa ni kitu bora zaidi dunia kuwahi kukipata au kitu cha hatari zaidi kuwahi kutokea duniani hususani hizo complex AI ambazo zina uwezo wa kujicommand zenyewe. Akaandika mpaka barua ya wazi kwamba isije kutokea ikaanza kutumika kwenye vita hususani matumizi ya nyukilia kwa sababu madhara yake ni hatari mno.


Kama saivi tumeanza kuletewa neurolink, watu wanatengeneza chip ambazo zinaweza kurekodi ndoto kisha ukaja kuitazama baadae. Watu wanatengeneza chip ambazo ukiwekewa kichwani wanaweza kufuta kumbukumbu zako zote and still unahisi ni ulaghai mkuu?


Huenda tunatofautiana kwenye uelewa na mitazamo.


Naheshimu mtazamo wako na asante kwa somo zuri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwani akili ni nini?


Huzuni, furaha, wivu, kupenda, kuchukia, kuota ndoto, kutamani .....ni akili? [emoji848]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ni vitu vinavyopelekea jinsi tunavyotafakari, kufanya maamuzi na kutatua changamoto mbalimbali, kuna uhusiano kati ya vitu hivyo na kutafakari kwa mtu kitu ambacho AI haiwezi.
 
"AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo"
Nimeiuliza AI:
The statement "AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo" is false.
AI stands for Artificial Intelligence, which is the ability of a computer or machine to mimic the cognitive functions of a human, such as learning and problem-solving. Automated Intelligence is a subset of AI that refers to the use of computers to automate tasks that would otherwise be performed by humans.
While automated intelligence is a part of artificial intelligence, it is not the only part. Artificial intelligence also encompasses other areas such as machine learning, natural language processing, and computer vision.
Here are some examples of artificial intelligence:

  • A self-driving car that uses sensors and cameras to navigate the road and avoid obstacles.
  • A virtual assistant that can answer questions, book appointments, and make recommendations.
  • A spam filter that can identify and block unwanted emails.
These are just a few examples of the many ways that artificial intelligence is being used today. As technology continues to develop, we can expect to see even more innovative and groundbreaking applications of AI in the years to come.
In conclusion, the statement that "AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence" is false. Artificial intelligence is a broad term that encompasses a variety of technologies, including automated intelligence.
 
Huenda tunatofautiana kwenye uelewa na mitazamo.
... Na huu ndio ubinaadamu wenyewe.
=
1707409329619.png
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa thread nzuri sana ya AI japo umebase upande mmoja. Maelezo yako mengi yameegamia kwenye SIMPLE AI ambayo inakuwa controlled na mwanadamu mwenyewe. Hii kwa kiasi kikubwa upo sahihi lakini tukija upande wa pili sidhani kama upo sahihi.


Ikikupendeza zaidi soma vizuri kwanza nini maana ya neno ARTIFICIAL.

Then
1. Artificial intelligence ni nini?
2. Aina zake ni zipi? (Hapa ndipo utakuta kuna moja ambayo sometimes inaweza kujicommand yenyewe na ndiyo inaogopwa kwamba how siku ikitokea ikareact tofauti na matarajio ya mwanadamu?

3. AI future yake ni ipi? ....pointi ya 3 inakufanya usiangalie miaka ya leo au miaka 10 ijayo bali anzia miaka walau 50-100 ijayo. Kama leo watu wanaanza kutengeneza wanawake wa bandia kama yule Manuel Pellegrin.... Saudia wana Sophia then kuna ELIZA ambaye watu wa IPhone wanamuita SIRI vipi kuhusu miaka 100 ijayo?

Kuhusu biashara upo sahihi, watu wanaitumia kwenye brand zao kupiga pesa hiyo ni OPPORTUNITY COST acha wajanja wale pesa.

Ukitaka kuichimba deep msome JOHN MCCARTHY. Utaijua AI ndani nje na future yake hasa ni ipi.


Mwanafizikia mkubwa HAWKING aliwahi kusema kwamba AI inaweza kuwa ni kitu bora zaidi dunia kuwahi kukipata au kitu cha hatari zaidi kuwahi kutokea duniani hususani hizo complex AI ambazo zina uwezo wa kujicommand zenyewe. Akaandika mpaka barua ya wazi kwamba isije kutokea ikaanza kutumika kwenye vita hususani matumizi ya nyukilia kwa sababu madhara yake ni hatari mno.


Kama saivi tumeanza kuletewa neurolink, watu wanatengeneza chip ambazo zinaweza kurekodi ndoto kisha ukaja kuitazama baadae. Watu wanatengeneza chip ambazo ukiwekewa kichwani wanaweza kufuta kumbukumbu zako zote and still unahisi ni ulaghai mkuu?


Huenda tunatofautiana kwenye uelewa na mitazamo.


Naheshimu mtazamo wako na asante kwa somo zuri.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nimezungumzia AI kwa ujumla, nafahamu kuna vitu kama deep learning ambayo ni subtype ya machine learning na machine learning ni subset ya AI.

Neural network katika deep learning imewezesha computer kufanya kazi kama ubongo ndio hizo speech recognition software kama siri n.k, computer vision n.k zinajifunza kutoka kwenye kiasi kikubwa sana cha data. Deep learning inatumia neural network au ANN(Artificial Neural Network).

Lakini yote na yote AI haitoweza kukaribia uwezo wa mwanadamu, its just a programming, AI haijitambui.

Hivyo nimeeleza labda kama utakuwa unamaanisha aina nyingine ya AI.

Hii deep learning inayotumia neural network ndio inaonekana kuogopwa zaidi kwenye AI, kwa sababu inajifunza kama mtu, ukiifundisha kucheza karata baada ya muda inakufunga.
 
Nini tofauti ya Mind, knowledge & intelligence?


Na hapo mwanadamu na AI unatofautisha vipi?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
AI na mwanadamu kuna tofauti kubwa si kidogo.

Mfano mdogo mwanadamu ni mdadisi katika mazingira, je AI ina udadisi?

AI inategemea kulishwa data, tons of data, binadamu ana uwezo wa kuyasoma mazingira haraka sana wakati huo AI inasuburi iwe programmed kutambua mazingira.

For any reason AI bado. Hata miaka 3000 ijayo haitoweza fika level ya binadamu, kwa sababu ni programming, haijitambui, imekuwa programmed kufanya hivyo.
 
AI , open ai wanasema ai itakuwa inatengeneza video kutokana na prompt za user, hivi hapa watu wa graphics hatujawakosa kweli?, yani mtu tuseme ana channel yake ya youtube anapost kufundisha kwenye zile video za illustrations akitumia ai .?
 
Mwaka 1997 IBM walitengeneza computer ikiitwa Deep Blue ikamshinda bingwa wa chess duniani aliitwa Garry Kasparov, watu wakaona dunia inaingia kwenye nyakati computer inakwenda kumzidi binadamu akili lakini si kweli, miaka ya1950' hadi 1960's kuna wanasayansi wakasema kuna robots zitakuja kufanya kazi kama mwanadamu matokeo yake walipata machine za kufulia, oven, vifaa vya kupika jikoni n.k, hadi leo haikutokea.

Artificial Intelligence ni ulaghai, ni brand, wafanyabiashara wapiga pesa Elon Musk na Billgate niliwasikia wakizungumza kuhusu hatari ya AI.

Lakini naona hao ni wafanyabiashara tu hakuna lolote, Elon Musk anasema AI ni hatari sana zaidi ya silaha za nuclear na watu wasiichimbe sana cha ajabu Musk ndio anaongoza msafara hivi sasa kufanya R&D juu ya robots zake za Tesla Bot.

Na wengi tunapoambiwa kuhusu AI tunawaza mfano wa machines au robots ambazo zina akili kumkaribia binadamu au sawa na binadamu zinaweza kufanya kazi, kuendesha gari, kufikiri , kukimbia na vitu vingi ambavyo mwanadamu hufanya, lakini hakuna kitu kama hiko. Na wengi wetu tunafikiri na kuogopa AI kwamba inakuja kureplace kazi nyingi.

Tech giants companies kama Google, Microsoft n.k wanaingiza pesa ndefu sana kupitia bidhaa za AI hivi sasa, bidhaa ikitoka ikitambulishwa tu kwamba ina AI basi tegemea watu kuitumia na kuinunua kwa wingi bidhaa hio.

Ukiingia youtube matangazo ni AI, Quora sasa wana AI, opera browser wana AI, software nyingi za kazi mfano microsoft office , photoshop, after effects n.k zina AI. Tech companies zinatembea na upepo wa AI si mchezo, hivi sasa si ajabu ukaenda kununua radio au Tv dukani na ukakuta imewekwa nembo kwamba inatumia AI.

Katika neno investors wameongoza kulitafuta google hivi karibuni ni AI, watu wana invest sana kwenye bidhaa za AI, nadhani ni biashara ya kwanza itawapa watu utajiri wa trillion dollar.

AI systems mfano ChatGPT zinakuwa trained kwa kulishwa data kwa kiasi kikubwa sana kutoka mtandaoni, kwanza hata ChatGPT yenyewe unapoiuliza huwa haifahamu ilichojibu kinamaanisha nini, ni kweli ama uongo, computer haipo emotion, computer haina critical thinking kama mwanadamu, AI tunaiweka kwenye automation, ni automated intelligence.

Mfano ChatGPT inapojibu huwa inaweka neno linalofuatia kwa kuangalia zaidi statistics kwa sehemu kubwa ni neno lipi limetumika zaidi linalofuatia, na hizi data ni binadamu kaandika zipo online, inachota mamia ya terabytes za data na kufanya pattern matching n.k kupata jibu.

AI ni Automated Intelligence na sio Artificial Intelligence kwa maoni yangu na nina uhakika na hilo.

AI inaweza kufanya specific tasks ambazo imekuwa programmed kufanya.

AI haina IQ, inafuata kile mwanadamu ame program ifanye.

AI siku zote itategemea ni kipi tuilishe, na vipi tuna i structure, AI ni computational mathematics applied to automation.

Movies na novels zimetudanganya pakubwa. Wafanya biashara wakubwa kama Elon Musk na maneno yao ya kutisha watu kuhusu AI ni ku hype wazidi kupiga pesa kiulaini.

Hakuna Intelligence ambayo ni artificial.
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???
 
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???
Wayahudi weusi mna shida sana.
Mmekaa mnawaangalia wayahudi wenzenu wakipinga biblia agano jipya na kupinga vikali mafundisho ya Yesu na nyie wayahudi kutoka Namtumbo mnawatizama tu jinsi wanadhalilisha kitabu kitakatifu?
 
Wayahudi weusi mna shida sana.
Mmekaa mnawaangalia wayahudi wenzenu wakipinga biblia agano jipya na kupinga vikali mafundisho ya Yesu na nyie wayahudi kutoka Namtumbo mnawatizama tu jinsi wanadhalilisha kitabu kitakatifu?
20240322_002405.jpg
 
Acha kuishi kwenye fantasy za ujinga, AI is a real deal na inaonekana hufuatilii mambo yanavyobadilika kutokana na AI, Kila angle ya Maisha itaguswa na AI na improvement itakuwa mara millioni, na ni mwanzo tuu, Nina mengi ya kusema lakini nakuachia ufanye homework yako maana Google ni bure, Anza kuangalia kuanzia kwenye finance, agriculture, retail, pharmaceutical etc utajua kinachotokea, tatizo unapoishi (I assume uko bongo) hamjaanza kuona matokeo, wenzako wameanza kupiga billions kutokana na AI, subiri itakufikia kama internet ilivyokufikia
 
Back
Top Bottom