Kamanda hebu niambie hivi kama ni wewe "mkeo anakwambia hivyo how would you react' ? hii ishu si ya kitoto mazee!!Hiyo inasaidia kuondoa gundu aisee
Itakuaje mshefa tu ndio ale ndogo wakati mwenye mali anakula kubwa?
wala usihangaike na yote hayo kamandaZanta hapa umepiga ikulu......hii ni mojawapo ya solutions: Mdada amwambie Mshefa kuwa anaseek divorce kwani anampenda sana Mshefa hatamani kushare penzi lake na the so called Mume so naye awe tayari kumpokea with immediate effects !! hahaha Mshefa akianza kusua sua hapohapo amepata chanzo. Zanta aksante mydia.
kamanda hii issue ilishaisha longKamanda hebu niambie hivi kama ni wewe "mkeo anakwambia hivyo how would you react' ? hii ishu si ya kitoto mazee!!
Halafu Mkuu, kama haamini huyo mdada ajaribu tu kumwambia Mshefa kua ndo nimenza mchakato wa divorce nitakua huru na wewe sasa! ndo atakapoona hayo maujanja anayoongeza yatakavyopotea!
Nimeisoma na hapa page wani utaona mchango wangu
But like any other story, its worth reading more than once.....
and by doing so... you learn more and more
wala usihangaike na yote hayo kamanda
we mwambie shogako kwamba umeongea na mshefa amesema ndio anamalizia divosi uone kama huyo shoga hatabadili hata namba ya simu
sio kwamba hawezi kuacha, anaweza sana ila anajibwetesha tu hapo kuna kitu cha ziada
Asprin amegusia ile ndrogo, sasa sijui ni kweli au la
Wapendwa WanaJF.
Natumaini wote mu wazima........naombeni msaada wa namna ya kushauri.
Ni rafiki yetu kifamilia, kwa muda mrefu yeye na mumewe wamekuwa kwenye migogoro ya hapa na pale ya kindoa. Kusema ukweli mumewe amekuwa akimis-behave kwa kipindi ikiwemo kucheat, physical abuse and the like. Mke akawa anaumia, anaconfront wanagombana.. After a while mgogoro ule ukapungua (ile frequency ya wao kuja kushtaki kwetu kesi zao ukapungua na mwisho kuisha kabisa- wadau tukakaa na kumshukuru MUNGU juu ya wokovu huu maana hali ilipokuwa inaelekea ilikuwa inatishia uhai wa ndoa ile).
Juzi kanijia huyo mke ananomba ushauri kama mwanamke mwenzie. Akatoa siri ya mafanikio 'amani' ya miujiza iliyotawala kwenye ndoa yake kwa kipindi kile. Alisema alikujaamua kuwa 'mpole' asimfuatilie mumewe wala asijihangaishe naye....alitafuta 'mshefa' wa pembeni naye akawa anajilia raha kwa nafasi!!!....sikuamini lakini kutokana na matatizo aliyokuwa nayo kipindi kile nadhani nilimwelewa ingawa sikuafiki.
Sasa anadai mumewe amejirekebisha sana na amebadilika na kuwa 'mume' tatizo liko kwake amejikuta amedevelop hisia kali za mapenzi kwa 'Mshefa' kuliko kwa mumewe na kila akijaribu kumuacha huyu jamaa anashindwa maana anasindwa kujicontrol kabisa. Not only that hata 'Mshefa' huyo hana dalili za kumsaidia 'kurudi' kwa mumewe kihisia kwani kila mara anakuwa kama anamblackmail vie kuwa anampenda na eti somehow huyu mwanamke amesababisha kutokuelewana flani kati yake yeye 'Mshefa' na mkewe nyumbani kwake. So kila mdada akijaribu kumuacha 'Mshefa' mshefa anakuja juu kimapenzi yaani anachochea vile.
Mdada anasema mumewe alishagundua juu ya cheatignyake lakini akamsamehe baada ya mke kukiri na kuapa kuacha. Ila sasa ndo anashindwa kihisia yuko kwa 'Mshefa' zaidi ya mumewe. Anaomba msaada afanyeje a'rudishe' mapenzi na hisia kwa mumewe??
Amekiri kuwa alifanya kosa na anajutia kutafuta 'faraja' nje ya ndoa.
Naombeni tumsaidie .....Nitawaacknowledge msijali
Babu ninakiri kama ningekwua mwanafunzi wa SHeria ningeangukia pua kwenye kesi hii. duh kuna vitu vingi sana nimevigundua punde nitakuja na majumuisho yake........Ama kweli mapenzi zaidi ya uyajuavyo
NADECLARE KUANZIA LEO AM ZERO KATIKA MAPENZI..............ZERO TENA ZERO YENYE MASIKIO NA KAMASI
Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikiee hili neno la MJ1Generally:
1. Wanawake si "wapole' katika mahusiano kama tunavyojiaminisha/amini
2. Cheating kwa wanawake haiji pasipo sababu iwe ni loophole au inevitable forces
3. No matter what the reason is Cheating kwa mwanamke IS UNACCEPTABLE.
Usijaribu kushindana na Mwanaume
wala usihangaike na yote hayo kamanda
we mwambie shogako kwamba umeongea na mshefa amesema ndio anamalizia divosi uone kama huyo shoga hatabadili hata namba ya simu
sio kwamba hawezi kuacha, anaweza sana ila anajibwetesha tu hapo kuna kitu cha ziada
Asprin amegusia ile ndrogo, sasa sijui ni kweli au la
Hapo kwenye majumuisho MJ1 katuingiza marikiti
ndoa hizi dah heri nitafute kiserengeti changu nijisevie wallah
MJ1,
Hizo conclusions nyingine ni zako...Ungeleta kwanza draft tuijadili.
Mimi sijasema kwamba shost wako afanye jitihada kuacha utamu anaoupata sasa kwa sababu sina alternatives za kumpatia hiyo raha na starehe tena kwa kipimo kile kile anachopimiwa.
Mwambie Babu DC anakushauri uendelee tu labda kisima kikikauka...Umenielewa???
Babu DC (1947)
5.Na hata ukishikw on the move hakuna kukubali, sema nimebakwaHahahahahahah Babu nisamehe lol naona sampling imekuruka haya naongezea
4. Once ukiamua kucheat kwa nia ya kuziba pengo katioka ndoa yako USIKIRI na wala USICHE ila kuwa mwangalifu ZAIDI lol
5.Na hata ukishikw on the move hakuna kukubali, sema nimebakwa
Kamanda umeniacha solemba hapo! Kivipi nimewaingiza marikiti wajameni??
5.Na hata ukishikw on the move hakuna kukubali, sema nimebakwa
ndio mtindo wa kisasaHivi kuna mwanamke anaweza kutoa hiyo ndrogo kwa bwana asimpe mumewe?na mume hata asigundue?
Hahahahahahah Babu nisamehe lol naona sampling imekuruka haya naongezea
4. Once ukiamua kucheat kwa nia ya kuziba pengo katioka ndoa yako USIKIRI na wala USICHE ila kuwa mwangalifu ZAIDI lol