Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

sasa hapa bht naona tupo pamoja...........<br />
nadhani hiyo faraja ambayo anaipata hapo huyo dada ni uhakika wa ngono tu,<br />
tena yumkini waweza kuta ni ngono ile <i>''hardcore sex'' </i>ambayo yawezekana mumewe alikuwa hampi hiyo.........<br />
<br />
ngoja niwaambie nyie akina dada, MJ1, CHAURO , bht na wengineo....................<br />
<br />
''wanaume wengi huwa tunapenda sana pale penye mteremko hasa katika kukata kiu ya kingono,<br />
huyo mshefa keshatambua kuwa huyo dada ana kiu ya ngono, na once akipata hiyo kitu anakuwa ametulia kwatu....<br />
sidhani kabisa katika hiyo faraja kuna mambo mengine mazito ya kimaisha ambayo wanatimiziana ukijali kwanza muda ni mchache wa kuonana.......<br />
sasa kwa style hii huyo mshefa anaona amepata penye unafuu wa kuponea hiyo kiu yake, kwa wakati wowote na isitoshe bila gharama........''
<br />
<br />


Basi bacha, kwa kutambua kuwa hata dada alikuwa na kiu ya ngono, baada ya mume kumtelekeza (pengine hakuwa anapatiwa haki yake kisawasawa) tumshauri dada afunguke kwa mume, amweleze anachotaka (yale mshefa anayompa ila asiseme mshefa ndo anafanyaga hayo makeke) inaweza kumsaidia kutekwa tena na mapenzi ya mume!!
 
unajua bht, kosa lilishafanyika toka mwanzo.......................
huyu bibie alifanya kosa sana kwenda nje kutafuta hiyo tunayosema ''faraja''
hainiingii akilini anaposema kuwa hivi sasa amemzimia mazima huyo ''mshefa''...........
sasa huyu bibie hata akirudi kwa mumewe kweli atadiriki kusema kuwa anampenda kweli?

Au sasa itakuwa ni kuishi bora liende, kwakuwa tayari meshajifunga hilo nyororo la ndoa?

makosa yaaina yote kwenye ndoa yaweza fanyika na yakapata misamaha,
lakini hili la kutembea nje ya ndoa......lol....limepitiliza mpaka basi.......!

mume wake yeye hakufanya kosa kutafuta faraja mpaka akapelekea huyu dada kufanya labda asichokitegemea(mshefa)?....2nakoelekea mnatakiwa muizoee hiyo hali, labda uwe mwema kwa mwenzio....ndoa za sasa ni zile za "if u do me,i do u"
 
mume wake yeye hakufanya kosa kutafuta faraja mpaka akapelekea huyu dada kufanya labda asichokitegemea(mshefa)?....2nakoelekea mnatakiwa muizoee hiyo hali, labda uwe mwema kwa mwenzio....ndoa za sasa ni zile za &quot;if u do me,i do u&quot;
<br />
<br />
ila sijawahi kusikia mwanaume akiitwa malaya ila kwa mwanamke akigawa kidogo utasikia yule dada ni malaya
 
figa moja haliiivishi ugali eeh???halooo.....mwambie aendelee hivyo hivyo kama mumewe yuko happy,na service zote anazipata akitaka...shida ya nini? mbona wenyewe wanatupanga......kosa ni kumfanyia dharau au kutompa haki yake kama mume baasi,hayo mengine hayamuhusu haluuuuuuuuuuuuuuu
<br />
Haufai kabisa wewe,inaonyesha ni kicheche wa kufa mtu.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ila sijawahi kusikia mwanaume akiitwa malaya ila kwa mwanamke akigawa kidogo utasikia yule dada ni malaya
<br />
<br />

Huo umalaya kana kwamba anafanya mwanamke peke yake....
 
Ah chauro huyu mume ni one in a million na akimchezea atampoteza kimoja! Ingawa naye alimtesa vilivyo lakini nadhani ameligundua kosa lake na ameamua kutengeneza sasa baki iko kwa bidada................walah ngekuwa mie na hivi mume ashajua ningeongozana naye kwenda kumpiga kibuti huyo Mshefa LOL..................................

ndipo hapo ninaposema huyu dada bado "hajaamua"...akiamua kumuacha mshefa kutoka moyoni kwake hata iweje atamuacha tu.
 
ndipo hapo ninaposema huyu dada bado "hajaamua"...akiamua kumuacha mshefa kutoka moyoni kwake hata iweje atamuacha tu.


hasaaa.....anashoiya tu! yaani ingekuwa rahisi sana kama ametaka maana mumewe anajua kulikuwa na mshefa sasa blackmail anayojikinga nayo sioni hata ugumu wake.
 
yap....hataki na hana nia ya kumwacha....hivi mshefa atakufanyia lipi wewe uharibu ndoa yako yake ikichanua? mdada bado anampenda mshefa ndio mana hajaamua bado kumwacha.

hainiingii akilini unaposema huyu mdada anampenda mshefa kuliko mumewe....................
hivi anampendaje?kwa lipi hasa mpaka ampende?
ukijaribu kubainisha kwa undani hapo unakuta ni ngono tu ndo wanayoweza kushare...............
sasa sijui hiyo ndo justification ya huo upendo?unless otherwise uniambie hapa huo upendo unaozungumziwa hapa ni upi.............
 
<br />
<br />
umesema jambo la maana sana. Tabia yetu kwenda kujieleza eleza kwa wanaume wengine mataizo ya mahusiano yetu, mara nyingi lazima mtu aangukie humo.

Mae, huyu dada anageresha tu, ni msanii na hajataka kumuacha mshefa.


Sijaona uzito wa hiyo blackmailling technique yq mshefa.

hiyo ndio point yangu, mbona mume wake aliamua na akaweza?....
 
  • Thanks
Reactions: bht
Pole zake, ila anatakiwa aangalie sana mana unaweza kuta mume anasema katulia kumbe huko alikokuwa kahamishia makazi kapewa kibuti hivyo anavuta pumzi kwanza then aendelee na mambo yake , unaweza poteza mshefa wako bure na huku kwa mume akarudia tabia zake zile zile, hivyo bidada kuwa makini sana!


mmmmh...ama kweli Empty mind is the devil's workshop
 
Mwanajamii one unajua kila kitu ni maamuzi toka moyoni
Kama mtu ataamua sasa nafanya hivi ..na kushikilia maamuzi yake inawezekana kabisa.
Huyu Madame amwelenze nyumba ndogo wake ameamua kuacha huu uzandiki na kuamua kuwa na mmewe pekee
Ya kale yamepita na sasa yamekuwa mapya
Kama jamaa ataendelea kung'ang'ania na dada kukataa ni dhahiri hawezi kubebwa kwa nguvu kwenda kubanjua amri ya sita
Zaidi huwa anaenda kwa maamuzi yake.
Akemee hili pepo
 
hiyo ndio point yangu, mbona mume wake aliamua na akaweza?....


mtu ukiamua kubadilika unaweza haijalishi unapitia magumu gani bana wee...

jamani na hizi ndoa hizi nazo aaah.....ni kwamba tumesha rule out suala la uaminifu kabisa? ni nini mbaya?
 
Mwanajamii one unajua kila kitu ni maamuzi toka moyoni
Kama mtu ataamua sasa nafanya hivi ..na kushikilia maamuzi yake inawezekana kabisa.
Huyu Madame amwelenze nyumba ndogo wake ameamua kuacha huu uzandiki na kuamua kuwa na mmewe pekee
Ya kale yamepita na sasa yamekuwa mapya
Kama jamaa ataendelea kung'ang'ania na dada kukataa ni dhahiri hawezi kubebwa kwa nguvu kwenda kubanjua amri ya sita
Zaidi huwa anaenda kwa maamuzi yake.
Akemee hili pepo


pepo ni yeye mwenyewe, ajikemee mwenyewe tuache kumsingizia shetani wakati mwingine. kwanza siku hizi hana hata kazi sisi wenyewe ni mashetani tu.

btw: hiyo avatar sio...lol
 
mume wake yeye hakufanya kosa kutafuta faraja mpaka akapelekea huyu dada kufanya labda asichokitegemea(mshefa)?....2nakoelekea mnatakiwa muizoee hiyo hali, labda uwe mwema kwa mwenzio....ndoa za sasa ni zile za "if u do me,i do u"[/QUOTE]


kwa hili Nyamayao, wala sina la kuongeza tena,
asilani sipendi visasi katika maisha yangu.........
sidhani kama ndoa iliyosheheni visasi nayo inapaswa iitwe ni ndoa..........ni usanii mtupu na kuviziana tu!
mwenzio akijisahau tu unamlipua......lol.........
 
hainiingii akilini unaposema huyu mdada anampenda mshefa kuliko mumewe....................
hivi anampendaje?kwa lipi hasa mpaka ampende?
ukijaribu kubainisha kwa undani hapo unakuta ni ngono tu ndo wanayoweza kushare...............
sasa sijui hiyo ndo justification ya huo upendo?unless otherwise uniambie hapa huo upendo unaozungumziwa hapa ni upi.............

cjasema anampenda mshefa kuliko mume wake, na unapouliza anampendaje una maanisha nn, c anampenda kama kumpenda, iwe ni mapendo ya kingono au kuna mambo mengine wana share, nani anajua? kama huyu dada hana hata ka upendo kwa mbali kwa mshefa acngeweza kuiweka ndoa yake rehani kiac hiki, bado anampenda/anamuhitaji na hajaamua bado kumuacha, akiamua ataweza kama mume alivyoweza.
 
mtu ukiamua kubadilika unaweza haijalishi unapitia magumu gani bana wee...

jamani na hizi ndoa hizi nazo aaah.....ni kwamba tumesha rule out suala la uaminifu kabisa? ni nini mbaya?


kweli ni hatari, uaminifu naona sasa unakuwa kama ''Law of Diminishing retun''
WAUNGWANA wanasema bora ukute mwanaume ndo anatoka nje,
angalau atakuwa akijistukia sometimes,
lakini mwanamke akitoka nje basi ndo anatoka mazima...........................
 
mume wake yeye hakufanya kosa kutafuta faraja mpaka akapelekea huyu dada kufanya labda asichokitegemea(mshefa)?....2nakoelekea mnatakiwa muizoee hiyo hali, labda uwe mwema kwa mwenzio....ndoa za sasa ni zile za "if u do me,i do u"[/QUOTE]


kwa hili Nyamayao, wala sina la kuongeza tena,
asilani sipendi visasi katika maisha yangu.........
sidhani kama ndoa iliyosheheni visasi nayo inapaswa iitwe ni ndoa..........ni usanii mtupu na kuviziana tu!
mwenzio akijisahau tu unamlipua......lol.........


Lakini bacha, huyu mume angekuwa mwema si angeepusha haya yote?
ni jambo lililowazi kabisa ni wanandoa wenyewe wenye hiyari ya kubomoa au kuijenga nyumba yao. uwezo wa kuepusha mifarakano upo mikononi mwetu kabisa, its only if we wish to do so.

hapa nieleweki sitetei alichokifanya mke, lakini kwa nini usiepuke kuwa sababu ya matatizo kwenye ndoa /mahusiano yako?

nakubaliana pia na wewe kwenye suala la visasi kwenye ndoa/mahusiano, havitatui bali vinafanya tatizo liwe kubwa zaidi.
 
kweli ni hatari, uaminifu naona sasa unakuwa kama ''Law of Diminishing retun''
WAUNGWANA wanasema bora ukute mwanaume ndo anatoka nje,
angalau atakuwa akijistukia sometimes,
lakini mwanamke akitoka nje basi ndo anatoka mazima...........................


hakuna 'bora' bacha....sema nyie ni wabinafsi sana, mejipa haki ya kufanya hayo kwa kuwa tu ninyi ni wanaume. inavyowaumiza nyie na sisi ni hivyo hivyo na zaidi.
kwa kweli ntaacha mwanaume awe mwanaume lakini si kwenye hili.....
 
Back
Top Bottom