bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
<br />sasa hapa bht naona tupo pamoja...........<br />
nadhani hiyo faraja ambayo anaipata hapo huyo dada ni uhakika wa ngono tu,<br />
tena yumkini waweza kuta ni ngono ile <i>''hardcore sex'' </i>ambayo yawezekana mumewe alikuwa hampi hiyo.........<br />
<br />
ngoja niwaambie nyie akina dada, MJ1, CHAURO , bht na wengineo....................<br />
<br />
''wanaume wengi huwa tunapenda sana pale penye mteremko hasa katika kukata kiu ya kingono,<br />
huyo mshefa keshatambua kuwa huyo dada ana kiu ya ngono, na once akipata hiyo kitu anakuwa ametulia kwatu....<br />
sidhani kabisa katika hiyo faraja kuna mambo mengine mazito ya kimaisha ambayo wanatimiziana ukijali kwanza muda ni mchache wa kuonana.......<br />
sasa kwa style hii huyo mshefa anaona amepata penye unafuu wa kuponea hiyo kiu yake, kwa wakati wowote na isitoshe bila gharama........''
<br />
Basi bacha, kwa kutambua kuwa hata dada alikuwa na kiu ya ngono, baada ya mume kumtelekeza (pengine hakuwa anapatiwa haki yake kisawasawa) tumshauri dada afunguke kwa mume, amweleze anachotaka (yale mshefa anayompa ila asiseme mshefa ndo anafanyaga hayo makeke) inaweza kumsaidia kutekwa tena na mapenzi ya mume!!