Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli ni hatari, uaminifu naona sasa unakuwa kama ''Law of Diminishing retun''
WAUNGWANA wanasema bora ukute mwanaume ndo anatoka nje,
angalau atakuwa akijistukia sometimes,
lakini mwanamke akitoka nje basi ndo anatoka mazima...........................
cjasema anampenda mshefa kuliko mume wake, na unapouliza anampendaje una maanisha nn, c anampenda kama kumpenda, iwe ni mapendo ya kingono au kuna mambo mengine wana share, nani anajua? kama huyu dada hana hata ka upendo kwa mbali kwa mshefa acngeweza kuiweka ndoa yake rehani kiac hiki, bado anampenda/anamuhitaji na hajaamua bado kumuacha, akiamua ataweza kama mume alivyoweza.
mtu ukiamua kubadilika unaweza haijalishi unapitia magumu gani bana wee...
jamani na hizi ndoa hizi nazo aaah.....ni kwamba tumesha rule out suala la uaminifu kabisa? ni nini mbaya?
cjasema anampenda mshefa kuliko mume wake, na unapouliza anampendaje una maanisha nn, c anampenda kama kumpenda, iwe ni mapendo ya kingono au kuna mambo mengine wana share, nani anajua? kama huyu dada hana hata ka upendo kwa mbali kwa mshefa acngeweza kuiweka ndoa yake rehani kiac hiki, bado anampenda/anamuhitaji na hajaamua bado kumuacha, akiamua ataweza kama mume alivyoweza.
% kubwa ya migogoro hii husababishwa na waume, wamekuwa hawana hofu/heshima na ndoa zao kabisa, mtu ameoa but ana mahawara kila kona, na hana hofu ya kumuumiza mke wake wala nn, wakimwagwa na mahawara huko ndio wanajirudi kama huyu na bahati yake mbaya huyu kakuta nafac yake imeshikiliwa na mshefa, hivi mnadhani wake zenu tuna mioyo ya chuma?
hakuna 'bora' bacha....sema nyie ni wabinafsi sana, mejipa haki ya kufanya hayo kwa kuwa tu ninyi ni wanaume. inavyowaumiza nyie na sisi ni hivyo hivyo na zaidi.
kwa kweli ntaacha mwanaume awe mwanaume lakini si kwenye hili.....
sidhani kama kupenda mtu kupo kirahisi hivi.........
yumkini huyu dada alitawaliwa na visasi au tamaa zisizokuwa na msingi hivyo akaamua kuchukua maaamuzi hayo ya haraka!
lakini sioni chembe chembe za upendo hapo!!!!!!
sawa bht, je na wewe unaamini dawa ya moto ni moto?
if you do me i do you.......................?si ndio mnaita faraja hizo ?
Lakini bacha, huyu mume angekuwa mwema si angeepusha haya yote?
ni jambo lililowazi kabisa ni wanandoa wenyewe wenye hiyari ya kubomoa au kuijenga nyumba yao. uwezo wa kuepusha mifarakano upo mikononi mwetu kabisa, its only if we wish to do so.
hapa nieleweki sitetei alichokifanya mke, lakini kwa nini usiepuke kuwa sababu ya matatizo kwenye ndoa /mahusiano yako?
nakubaliana pia na wewe kwenye suala la visasi kwenye ndoa/mahusiano, havitatui bali vinafanya tatizo liwe kubwa zaidi.
nakubaliana na wewe bht, wala sijapinga hili...
mwanaume anakosa kubwa pia kwa kutoka nje ya ndoa yake!
na mifarakano kwenye ndoa ni vema ikazungumzwa kwa pamoja ili uipate utatuzi wa kudumu
lakini hivi kweli dawa ya moto ni moto kweli?
mtu ukitendwa ni bora na wewe ulipize kisasi ili muwe sawa?hatuoni hapo ni sawa na kuwasha moto kwenye petrol station?
siku hizi mae naona tunakimbizana nao, ila kinachowauma wao ni kwamba si sahihi kwa mwanamke kuchiti, mwanamke akichiti ukagundulika (hata kama mumewe anachiti pia) adhabu yake ni kubwa, lakini mwanaume akichiti, yeye ni mwanaume hata jamii haitashangaa.
(hivi wanachitigi na nani hawa wanaume?)
kupenda kumetofautiana sana, wewe unaweza kuona huwezi kupenda kirahic but kwa mwenzio ikawa ni rahic sana....hata upendo ni kingono ni upendo pia may b ndio huyu dada amempendea mshefa na ndio unaofanya anashindwa kuchukua maamuzi ya kummwga, unahic ni kitu gani kinachomfanya huyu dada ashindwe kummwaga huyu mshefa?....
laiti wangujua wanawake jinc tulivyo smart kwenye hilo, wao wanaona wakifanya mpaka wake zao tunajua ndio ujanja, laiti wangelijua, huku maoficn tunayaona mengi sana...laiti mngelijua!
sidhani kama kupenda mtu kupo kirahisi hivi.........
yumkini huyu dada alitawaliwa na visasi au tamaa zisizokuwa na msingi hivyo akaamua kuchukua maaamuzi hayo ya haraka!
lakini sioni chembe chembe za upendo hapo!!!!!!
so far the winner here is mshefa.....damn it....lol
na kwa style hii, ndo maana tukiwabamba tu!bifu lake ni la kufa mtu..............
hahaaaa The Boss...lol!
dada kafa kaoza kwa mshefa
na kwa style hii, ndo maana tukiwabamba tu!bifu lake ni la kufa mtu..............