Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

Lizzy hayo mawazo ndo nayasamaraiz maana mh somo limeenda deep haswa! Natamani niprint akayaone yote
 
Mwacheni mwanamama ajilie chake bhana

midume yenyewe ya siku hizi haina hata maana

Mie nilishafuta zamaaaani ati 0% infidelity!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mwacheni mwanamama ajilie chake bhana

midume yenyewe ya siku hizi haina hata maana

Mie nilishafuta zamaaaani ati 0% infidelity!!!

iliyobaki ni kufundishana safe sex kwa wanandoa lol
 
Ukishangaa ya nanihii utayaona ya nanihiiii, lenye mwanzo lina mwisho, kama waliweza kukutana wakaanzisha uhusiano bado kuna uwezekano wa kachana, ila nahisi mbona kama vile ni mke wangu huyo jamani??
 
wewe unadhani mtu keshazoea lyanga-lyanga 20 years leo unamvalisha plastiki anakubali?? tena haya mambo haya balaa sana

Dawa ni kuvaa, kuvaa na kuvaaa.... je utavaa ndani ya nyumba pia??

Na kama mtu ana mshefa - do you think mshefa anavaa??

mkuu mimi naweza kusema kwa uwazi kabisa
kuwa wanawake wengi hawapendi condoms...kulinganisha na wanaume..
but kwa kuwa hawawezi kusema hawapendi,wanajifanya tu sio jukumu lao...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ukishangaa ya nanihii utayaona ya nanihiiii, lenye mwanzo lina mwisho, kama waliweza kukutana wakaanzisha uhusiano bado kuna uwezekano wa kachana, ila nahisi mbona kama vile ni mke wangu huyo jamani??

...lol...kmanda taratibu, haya mambo sio ya kuombea.
 
mkuu mimi naweza kusema kwa uwazi kabisa
kuwa wanawake wengi hawapendi condoms...kulinganisha na wanaume..
but kwa kuwa hawawezi kusema hawapendi,wanajifanya tu sio jukumu lao...

...kiukweli ukitaka unafuu wa mambo haya yanapokukumba, "usimchungue sana kuku...!"
Kwamba 'mchinjaji' alitumia style gani wakati wa kuchinja, kama kisu kilikuwa kikali...au alimwagiwa maji ...

draft_lens6866052module65676011photo_1284653667how_to_cook_chicken.jpg
...kwamba, kabla ya kuokwa alitiwa viungo akolee?! ...au alikaangwa na kuseviwa kwenye sahani ya kaure, ...au sinia....nk...UTAZIDI KUJIUDHI tu.
 
Wapendwa WanaJF.
Natumaini wote mu wazima........naombeni msaada wa namna ya kushauri.

Ni rafiki yetu kifamilia, kwa muda mrefu yeye na mumewe wamekuwa kwenye migogoro ya hapa na pale ya kindoa. Kusema ukweli mumewe amekuwa akimis-behave kwa kipindi ikiwemo kucheat, physical abuse and the like. Mke akawa anaumia, anaconfront wanagombana.. After a while mgogoro ule ukapungua (ile frequency ya wao kuja kushtaki kwetu kesi zao ukapungua na mwisho kuisha kabisa- wadau tukakaa na kumshukuru MUNGU juu ya wokovu huu maana hali ilipokuwa inaelekea ilikuwa inatishia uhai wa ndoa ile).

Juzi kanijia huyo mke ananomba ushauri kama mwanamke mwenzie. Akatoa siri ya mafanikio 'amani' ya miujiza iliyotawala kwenye ndoa yake kwa kipindi kile. Alisema alikujaamua kuwa 'mpole' asimfuatilie mumewe wala asijihangaishe naye....alitafuta 'mshefa' wa pembeni naye akawa anajilia raha kwa nafasi!!!....sikuamini lakini kutokana na matatizo aliyokuwa nayo kipindi kile nadhani nilimwelewa ingawa sikuafiki.

Sasa anadai mumewe amejirekebisha sana na amebadilika na kuwa 'mume' tatizo liko kwake amejikuta amedevelop hisia kali za mapenzi kwa 'Mshefa' kuliko kwa mumewe na kila akijaribu kumuacha huyu jamaa anashindwa maana anasindwa kujicontrol kabisa. Not only that hata 'Mshefa' huyo hana dalili za kumsaidia 'kurudi' kwa mumewe kihisia kwani kila mara anakuwa kama anamblackmail vie kuwa anampenda na eti somehow huyu mwanamke amesababisha kutokuelewana flani kati yake yeye 'Mshefa' na mkewe nyumbani kwake. So kila mdada akijaribu kumuacha 'Mshefa' mshefa anakuja juu kimapenzi yaani anachochea vile.

Mdada anasema mumewe alishagundua juu ya cheatignyake lakini akamsamehe baada ya mke kukiri na kuapa kuacha. Ila sasa ndo anashindwa kihisia yuko kwa 'Mshefa' zaidi ya mumewe. Anaomba msaada afanyeje a'rudishe' mapenzi na hisia kwa mumewe??

Amekiri kuwa alifanya kosa na anajutia kutafuta 'faraja' nje ya ndoa.

Naombeni tumsaidie .....Nitawaacknowledge msijali
.

Most of the time in marriage life, so many fun things happen, if you will ask history and background of this couples, you will find out that they have get married accidental, to be in love for a man and woman, itself did not guarantee for being good husband or good wife. Most of the time we get marriage not because we love each other, but because we admire each other, the problem comes when the right person comes in life, the one who you real love.
In life we should know to differentiate between love and admire.
 
bht; Mbu nimekubaliana na wewe kwenye hilo la mfariji, time is a healer...sawa na nimependa zaidi hapo uliposema kwa anayejua atahari za haya mambo hatothubutu kabisa kumnyanyasa mke wake...(hata wanawake hawatathubutu kuwanyanyasa waume zao kadhalika)

Sasa MBU kwa case hii hapa mkononi, MFARIJI naye ni mume wa mtu, huyo dada MFARIJIWA kilichomfikisha hapo ni pamoja na mume kutembea nje ya ndoa.

JE, yeye naye haoni atampa mwanamke wa MFARIJI wake mataeso endapo atajua mumewe anatembea nje ya ndoa? (nilimuuliza MJ1 kama mke wa MFARIJI naye anataarifa sikupata jibu)
Huyu MFARIJIWA anaona yeye anasbabu ya kumfanyia hivo mwanamke mwenzie?

Ndo hapo napoona watu wanashindwa kuangalia upande wa pili, Wanaona huyo Mfarijiwa ni haki yake kupate hilo faraja kutoka kwa mume wa mtu huku naye anasababisha ndoa ya mwanamke mwenzake kuharibika. Kama yeye alivyokuwa analalamika pindi mumewe alipomtelekeza akiwa na wanawake wengine huko ndiyo hayo hayo maumivu anayompa huyo mke wa mfariji. Huyo mdada mfarijiwa Aangalie kama yeye analofanya ni haki kwa mke wa Mfariji na kuona kuwa ni vigumu kurudi kurudisha penzi kwa mumewe.
 
Lol Mbu ndo nini kutamanishana na saumu hii?!

MTM imajinesheni yako lol
 
Kama namuona mmenyaji aisee...................

Aiseeeeeeeeeee...

pls dont!!!!

....focus....breath in.....focus....breath out....breath in....focus...breath out...! Haikusaidii hiyo mkuu, unajitia presha tu...la msingi
focus kwenye kiini,
H1101596-Boiled_egg-SPL.jpg
...sio ganda la jai!
 

Ndo hapo napoona watu wanashindwa kuangalia upande wa pili, Wanaona huyo Mfarijiwa ni haki yake kupate hilo faraja kutoka kwa mume wa mtu huku naye anasababisha ndoa ya mwanamke mwenzake kuharibika. Kama yeye alivyokuwa analalamika pindi mumewe alipomtelekeza akiwa na wanawake wengine huko ndiyo hayo hayo maumivu anayompa huyo mke wa mfariji. Huyo mdada mfarijiwa Aangalie kama yeye analofanya ni haki kwa mke wa Mfariji na kuona kuwa ni vigumu kurudi kurudisha penzi kwa mumewe.

...tafsiri ya jambo hili yategemeana "kisu umekamatia kwenye makali au kwenye mpini"
kwa mie mtazamaji, nawaona wote watatu wamechangia makosa,
na wote wanne ni waathirika wa jambo hili [lililosababishwa na huyo mume.]

Lol Mbu ndo nini kutamanishana na saumu hii?!

MTM imajinesheni yako lol

lol....usijefungulia tu...muda bado!
 
...tafsiri ya jambo hili yategemeana "kisu umekamatia kwenye makali au kwenye mpini"
kwa mie mtazamaji, nawaona wote watatu wamechangia makosa,
na wote wanne ni waathirika wa jambo hili lililosababishwa na huyo mume.



lol....usijefungulia tu...muda bado!

Between a guru and a savant I don't know which one you are when it comes to romantic issues.
 
Back
Top Bottom