Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
Mkuu umeandika Kama una roho wa bwana. Kwa hiyo dini na siasa havitangamani?
 
Siasa kitu kicha ajabu sana check diwani anavyosoteshwa, atajuta kuhama
 
Chezea A town wewe hawataki kabisa ujinga ujinga usio vumilika hata Kidogo wako seriously /safi sana!!!
 
Hayo ni matatizo yake binafsi, msiyaunganishe na siasa. Katumuliwa alikopanga sababu halipi kodi ya pango, waumini wamemkimbia sababu anawakopa sana pesa.
Ndicho anachostahili.
Si mmlipie?
 
Mkuu hii ni tahadhari tu. Watu wasiojulikana na Nissan nyeupe na SMG zao bado wapo mtaani wakiendelea na mawindo yao ili kuwaua wote ambao wanaikoromea hii Serikali dhalimu.

hivi mimi ni Chadema au Ni Mwanahabari Huru? kazi yangu ni Kuhabarisha karibu officini kwangu niko Mwembe yanga kiongozi "Mwanahabari Huru"
 
Sasa hizo pesa alizohongwa si alipe hayo madeni?
Kule unadanganywa na advance nyingine tutakukabidhi ukisharudisha card mkimaliza tu kila ukipiga namba ya yule jamaa mwenye domo hapokei mwisho unachezea ban yakutosha
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
Wamkimbie. Wasimkimbie yote tisa kumi keshajitambua huyo
 
Chichiem ni chama kubwa atagombea tena Udiwan atashinda na waumini watarudi tena maana wanampenda mtumishi wao Aitwe Mhe badala ya mchungaji na watachangia Kodi ya nyumba ya Mhe! That's all!
 
Back
Top Bottom