Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Yeye katishia Kujamba Watu wameukweka / wamekunya kabisa. Hakuna Watu ambao huwa nawaamini kwa maamuzi magumu na ya mwisho kama wa Mkoa wa Arusha. Pamoja na ujanja wangu na uchakaramu wangu wote huwa nikienda Mkoani Arusha huwa nakuwa na adabu zangu zote mpaka siku ninayoondoka.
Nenda ukaonyeshe kidole gumba Ar uone utakavyoraruliwa marinda..
Tulishawaambia nyie nzi wa kijani kwa Arusha hamna chenu, ila kwa kuwa akili zenu amezishika polepele basi mnajipa matumaini..
 
Maskini kumbe alitaka pesa ya kulipa madeni?
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
 
dawa ya deni kulipa.ukitafuta huruma kwa watawala kwa kuwalamba nyayo haisaidii.si atumie ule mgao kulipa madeni ?
 
Wote hao wamepewa hongo na Nassari na Lema, ushahidi usio na mashaka upo.
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu

Wanaharakati nao buana, sasa Dini na Siasa wapi na wapi, kwani hilo ni kanisa la chadema?
 
kwa hiyo wao walimstiri na madeni kwa sababu yupo chadema, alivyoondoka wameamua kumwaga siri zake njenje!
sijui lini mtaacha unafiki nyie watu,
 
Kama ni hivyo kabisa la mlima wa MTO wangeondoka wote. Alikuwa anadaiwa tu. Sio sababu za itikadi.
 
Nenda ukaonyeshe kidole gumba Ar uone utakavyoraruliwa marinda..
Tulishawaambia nyie nzi wa kijani kwa Arusha hamna chenu, ila kwa kuwa akili zenu amezishika polepele basi mnajipa matumaini..

Mkuu kwani Ugomvi? au umebanwa na haja kubwa pengine huko chooni umekuta kuna Njemba imekuwahi sasa hasira zote unataka kuzimalizia Kwangu katika hiyo Simu yako unayoitumia hapo ukiwa umesimama karibu na Mlango huku ' Nnya ' ikiwa inakuja, inagonga ' Nyero ' na inarudi ilipotoka?
 
Tundulissu alisema tutanyamaza tu tukifa, hii ya kumfukuza nyumba haitamzuia kutetea wanyonge.
Wanyonge gani wanatetewa kwa utapeli, ulaghai na uzandiki. Kweli siku ya Mwisho kama IPO tutaumbuka kwa Picha kuwekwa live!!! Tutashihudia matapeli waliojiita wachungaji na kuibia waumini wakiungulia na kigugumia kwa uchungu wa moto wa milele. Mchungaji Chadema then Ccm then kutolipa kodi then madeni lukuki wapi na wapi? Mungu anawaona nyote.
 
Back
Top Bottom