Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Yeye katishia Kujamba Watu wameukweka / wamekunya kabisa. Hakuna Watu ambao huwa nawaamini kwa maamuzi magumu na ya mwisho kama wa Mkoa wa Arusha. Pamoja na ujanja wangu na uchakaramu wangu wote huwa nikienda Mkoani Arusha nakuwa na adabu zangu zote mpaka siku ninayoondoka.

Mkuu siku nyingine ukija Arusha tutafutane, mbali na siasa watu wa Arusha pia ni wakarimu...ila ukiingia ulingoni kwa masuala yahusuyo siasa uwe smart enough.
 
Hakuna watu wahuni kama ccm wakishamnunua mtu ....kwanza pesa wanatoa advance ya kumalizia wanaila , na baada ya hapo hawana mpango na wewe ..huyu mchungaji ," apambane na hali yake" ....mapenzi yalikuwa mazito kabla hajapanda pale jukwaani ....kwa sasa watamkimbia kama mimba !!!
Ukizingatia nao biashara haijawalipa baada ya kuliwa pesa na piki piki zao na zaidi ya vijana 500 waliowaahidi kuwa nao wangehamia ccm kwa mafuriko!!!!
 
CHADEMA bhana kwahiyo mnafurai sana ..Hivi bado mpoNairobi
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
kwani kudaiwa ni dhambi? Nchi inadaiwa itakuwa individual?? Siasa uchwara kwanini alipokuwa Chadema mbona hukuandika kuwa anadaiwa?? Deni limejulikana baada ya kuhama Chadema??!!
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
Ameanza kuisoma Namba mapema!! Kwanza Hafai kua kiongozi Hana Miiko ya Ungozi
 
Hopeless kwani kudaiwa ni dhambi? Nchi inadaiwa itakuwa individual?? Siasa uchwara kwanini alipokuwa Chadema mbona hukuandika kuwa anadaiwa?? Deni limejulikana baada ya kuhama Chadema??!!
Acheni kulialia msaidieni pa kulala
 
hivi mimi ni Chadema au Ni Mwanahabari Huru? kazi yangu ni Kuhabarisha karibu officini kwangu niko Mwembe yanga kiongozi "Mwanahabari Huru"
Wewe ni Chadema acha uongo ni mwanahabari wa Chadema wala usikatae!
 
Jinsi hali ilivyo bana kiuchumi akili ni kuchukua kadi yako ya Chadema unaenda kwa Polepole unamwambia nataka kurudisha hii kadi kwa bosi wako andaa drama tuu.
Unakula mshiko kisha unalala mbele kama wale wa Arusha waliokula kona.
Huyo jamaa yeye kajisahau kulala mbele sasa ataipata!
Mkuu, usicheze na CCM. Umesahau wale madiwani wa Kilimanjaro walivyoingizwa mjini? Pesa ziliingizwa kwenye akaunti zao, wakaja Lumumba Dsm wakapokelewa na Polepole. Baada ya shughuli mmoja wao akaenda benki kuchota za kwenda kujipongeza hapa jijini akakuta zote zimetolewa. Alipouliza benki, akaambiwa benki imejulishwa kwamba pesa hizo ziliingizwa kimakosa.

Namshangaa huyo Diwani aka Mchungaji kwa kuingia mkenge huo. Wanajamvi wanahoji kwa nini asilipe pesa alizohongwa? Jibu ni kwamba CCM haitoi pesa. Ni usanii kwa kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom