Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Mkuu siku nyingine ukija Arusha tutafutane, mbali na siasa watu wa Arusha pia ni wakarimu...ila ukiingia ulingoni kwa masuala yahusuyo siasa uwe smart enough.

Sithubutu ng'o Mkuu. Fujo zangu zote nazifanyia huku huku tu Dar es Salaam huko Kwenu Arusha ' adabu ' zangu huwa ni za ' Kutukuka ' kabisa. Wewe kama Makahaba / Malaya ( wauza Mbunye ) wengi wa Arusha huwa na Visu viunoni mwao au katika mikoba yao unadhani hiyo pekee tu haitoshi kukuambia kuwa Arusha Shikamoo?
 
Kama anahayo matatizo si aliyatengeneza akiwa chadema?

Sasa amekuwa mtu safi atalipa hayo madeni na mikopo na ataacha kuchukua pesa za watu.
 
Kama anahayo matatizo si aliyatengeneza akiwa chadema?

Sasa amekuwa mtu safi atalipa hayo madeni na mikopo na ataacha kuchukua pesa za watu.
Ameshakuwa mtu safi kwa kuwa na Matatizo nakuchukua pesa za watu nakukimbia?
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu

Sasa wewe Ndugu Mwanahabari Huru unasemaje kwa hili????!!!
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu na nusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
Ina maana wanavyosemaga kua Bwana "Slow" hua anawakopaga hawa mamluki hawapi cash ni kweli kumbe??
 
Na Mwanahabari Huru

Habari zilizotufikia Kutoka Jijini Arusha zinatanabaisha, Aliyekuwa Mdiwani wa Kata ya Kimandolu Jijini Humo Arusha zinaeleza siku Moja baada ya Mchungaji huyo mwenye kanisa lake la Kiroho ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa amepanga kwani anadeni linalokisiwa la shilingi milioni Tatu nanusu.

Vile vile kwenye kanisa lake lake juzi kwenye ibada ya Jumapili alipokwenda kusalisha waumini wa hilo kanisa wamemuhama na alijikuta na Wanakwaya tu ndio wapo kanisani, Kibaya zaidi kundi la wanaume na wanawake walimfuata na kumtishia kumpeleka polisi kwa kile wanachodai ni pesa nyingi alizochukuwa kwao kwa mkopo.

Juhudi za Kumtafuta diwani huyo kutwa leo zimezaa matunda kwani alikuwa hapatikani kwenye simu tokea alivyojiunga na Chama cha mapinduzi, Mwanahabari huru alivyomtafuta amempata na baada ya kumumuliza maswali hayo hapo juu amesema siwezi kujibu lakini nikweli nadaiwa na kukata simu
Waumini wa siku hizi hawapendi unafiki,
Wamegoma kusalishwa na mnafiki msaliti
 
Sasa wewe unafurahia diwani wenu kuwa na madeni, maana hayo madeni kayapatia hukohuko Chadema!!
Na huko ndio walikuwa wanamwamini sana, mpaka wakamkopesha. Sasa huko aliko wanadhani hataweza kulipa!!
 
mbaya saisi Mchungaji ameanza kunywa Banana na Konyagi
Kukopwa halafu aslipwe kubaya sana Mkuu wangu.
Uje tena huku waumini wamemkimbia, huku mwenyenyumba kachachamaa,
Wacha tu apunguze mawazo na stress
 
Kukopwa halafu aslipwe kubaya sana Mkuu wangu.
Uje tena huku waumini wamemkimbia, huku mwenyenyumba kachachamaa,
Wacha tu apunguze mawazo na stress
wewe unafikiri mpaka anatembea na Konyagi mfukoni ni Mchezo
 
wewe unafikiri mpaka anatembea na Konyagi mfukoni ni Mchezo
Mkuu kama uko Arusha jaribu kumnusuru huyo Jamaa,
Manake ukitoka hatua ya kutembea na Konyagi mfukoni nina uhakika hatua inayofuata ni kuongea mwenyewe mabarabarani
 
Mkuu kama uko Arusha jaribu kumnusuru huyo Jamaa,
Manake ukitoka hatua ya kutembea na Konyagi mfukoni nina uhakika hatua inayofuata ni kuongea mwenyewe mabarabarani
Mkuu sipo Arusha Kuna wawakilishi wetu wapo Huko wanafwatilia hili Swala kwa ukaribu sana
 
Back
Top Bottom