Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Tetesi: Arusha: Aliyehama Kutoka CHADEMA na Kwenda CCM Afukuzwa kwenye Nyumba na Kanisani Waumini Wamkimbia

Hayo ni matatizo yake binafsi, msiyaunganishe na siasa. Katumuliwa alikopanga sababu halipi kodi ya pango, waumini wamemkimbia sababu anawakopa sana pesa.
Ndicho anachostahili.
FISIEM wamempokea wamlipie
 
Yeye katishia Kujamba Watu wameukweka / wamekunya kabisa. Hakuna Watu ambao huwa nawaamini kwa maamuzi magumu na ya mwisho kama wa Mkoa wa Arusha. Pamoja na ujanja wangu na uchakaramu wangu wote huwa nikienda Mkoani Arusha nakuwa na adabu zangu zote mpaka siku ninayoondoka.
.....bado Luwassa na Sumaye
 
Watu wanamna hii ni wasaliti mpaka kwa Mungu huwezi ukawasaliti wapiga kura wanaoonekana kwa macho halafu kwa Mugu asiyeonekana kwa macho ukawa salama usaliti wake ni zaidi.
 
Watu wanamna hii ni wasaliti mpaka kwa Mungu huwezi ukawasaliti wapiga kura wanaoonekana kwa macho halafu kwa Mugu asiyeonekana kwa macho ukawa salama usaliti wake ni zaidi.
usaliti haujawai kumwacha mtu salama
 
Hakuna mtanzania mwenye mapenzi ya kweli na CCM ya sasa, ni pesa tu. Hata uongozi ndani ya CCM unapatikana kwa njia ya pes "rushwa'. Pitia kesi za uchaguzi zilizopita utaona mifano mingi sana ya viti vya ubunge vingi tu vya wagombea wa CCM vilivyotenguliwa kutokana na rushwa. Ukipata kimoja tu cha mbunge wa CHADEMA kilichotenguliwa kwa sababu hiyo, nijulishe.
Kilangila vipi jimbo la Longido?? Au huna habari??
 
Yeye katishia Kujamba Watu wameukweka / wamekunya kabisa. Hakuna Watu ambao huwa nawaamini kwa maamuzi magumu na ya mwisho kama wa Mkoa wa Arusha. Pamoja na ujanja wangu na uchakaramu wangu wote huwa nikienda Mkoani Arusha nakuwa na adabu zangu zote mpaka siku ninayoondoka.
Ar ile nchi nyingine madem wanapiga roba gest we jipindue unaona bonge la demu ukiingia geto anakutaim ile unavua shat anakupiga bonge la roba anakupukutisha ela anasepa
 
mumdai na sadaka zenu zote alizobugia manina huyo!
 
Back
Top Bottom