dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
na huyu alikua na tattoo nakumbukaNimekumbuka huyu Jamaa aliyewahi kuua Bonge la Pisi Kali sababu tu ya wivu na kuacha katoto kadogo [emoji26]View attachment 2638086
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ongezea na watoto wawiliNgoja akakutane na watetezi wa haki za wanawake ndio atajua hajui. Huwezi kuoa mwanamke km yule mwenye tatoo halafu ujifanye una wivu sana au unajua kupenda sn km ndg yetu Countrywide ! Lazima dunia ikufundishe in a harsh way.
Hasira hasara tatizo la kuoa kahabaAnajiharibia maisha yake, kwa mtu mmekutana mkiwa na meno 32. Kuna watu wanapenda karaha katika hii dunia. Ninavyopenda uhuru wangu. Kisa wivu wa mapenzi, upewe mvua jela. Acha ahukumiwe, akutane na wababe wenzake jela.
Anajiharibia maisha yake, kwa mtu mmekutana mkiwa na meno 32. Kuna watu wanapenda karaha katika hii dunia. Ninavyopenda uhuru wangu. Kisa wivu wa mapenzi, upewe mvua jela. Acha ahukumiwe, akutane na wababe wenzake jela.
Jela inamhusu, akaliwe jicho.Hasira hasara......atavuna matokeo ya hasira zake.
Afu had mtu anapigwa ujue ni mrundikano wa hasira huwa haiwi siku moja..Kuna mahal inabdi,dharau zinadiz yeny wakat anampiga hakujua kam atamumiz hvyo hapo alipo anajuta kwanin nilifanya huu ujinga kila mtu ana yake sio we mwanaume kumuon mwanaume mwezetu yamemkut unamuon boya fala hamn ni jambo ambola hat wew linawez likatokea wangapi walipga wakaua hasira sio kitu cha mchezo kila mt anazo wanawake mnawajua vizuri wanaudhi kwel ni wanaume wachache sana wanachukua uwamuzi wa kuwaludisha makwao weng wanapga yanaish hakuna mwanamke atakwambia mume wang hajawah knipg sijui ila msijitetee kwa kutupia lawama tunavumilia meng.