Arusha: Ally Bananga arudi CCM kwenye mkutano wa Rais Samia Suluhu

Arusha: Ally Bananga arudi CCM kwenye mkutano wa Rais Samia Suluhu

Halafu kuna mtu kaanzisha uzi akiwashauri chadema wawasamehe covid19. Haya ndiyo majibu yake kuwa wale covid19 (akiwepo mke wa bananga) wakokwa kivuli cha ccm
 
Tatizo la Vyama ambavyo havina ideological Differences bali ni Platform ya Kujipatia Uongozi...

Ingekuwa ukienda Chama A kutoka B kuna Utofauti wa Ideology; Mtu kamwe asingetoka huku na kwenda kule no matter Uongozi wala kutokuelewana..., Kwa mtindo huu motivation ya watu ni Kura na Kula;
Ideology zipo CCM ni socialists/Left wing ila CHADEMA ni center-Right!!

Tatizo ni kwamba wananchama ndio hawajiungi kwa kufuata ideology bali ushabiki tu.

Mfano CCM ni wajamaa ila 95% ya wanachama wanaamini katika ubepari. So unaweza ona ambavyo ideology sio kipaumbele

Bwege pekee aliwahi kukiri hajiungi ACT sababu ya ideology (Of course yye sio mjamaa) ila anahamia sababu ni chama kipya!!!
 
Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Ally Bananga leo Jumapili mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kurejea tena CCM “nawashukuruni vijana wenzangu wa CCM ambao niliwasubiri mje Chadema lakini hamkuja na leo nimerudi nyumbani.”

Washamba wanaendeleza siasa za kishamba
 
MwanaHALISI Digital (@Mwanahalisitz) Tweeted:
Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Ally Bananga leo Jumapili mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kurejea tena CCM “nawashukuruni vijana wenzangu wa CCM ambao niliwasubiri mje Chadema lakini hamkuja na leo nimerudi nyumbani.” https://t.co/NE1XwPYJLR
 
Huyu mpare zuzu alichelewaga kurudi ccm vile alikuwa anakula ubunge wa mkewe kupitia chadema, Lema alishamchana tunajua wewe ni pandikizi la kijani akawa anabisha huku akivizia fursa chadema.

Sasa kaona mwenzie kala UDC morogoro anahisi naye atapata na alivyo na elimu ndogo kama piritoni.
Hii siyo habari msimpe mileage mkampiga teke chura
 
Karibu nyumbani Bananga,wengine hamjachelewa karibuni CCM tuijenge nchi yetu sio kuzijenga familia zetu huku hata Makao makuu ya chama tu hayaeleweki
 
inanikumbusha movie moja ya "Get rich or die"..

kijana mmoja anajaribu kuimba mziki upande mwingine ana njaa.....
 
Tena alichelewa kurudi, huyo alisharudi toka enzi za Magufuli,ila alichelewa tu kutangazwa. Hakuna jipya hapo.
Kwanini nyie hamkumfukuza badala yake mliendelea kumkumbatia wakati mnajua ni mamluki?

Chadema mnaishi kwa stress sana. Hamia tu ccm mkuu huku raha tupu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanachama wa Chadema, Bananga arudi CCM

Alikuwa Diwani wa Kata ya Sombetini Katika Jiji la Arusha kwa tiketi ya CHADEMA 2015 hadi 2020.


Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Ally Bananga leo Jumapili ametangaza kurejea tena CCM mbele ya Rais Samia Hassan “nawashukuruni vijana wenzangu wa CCM ambao niliwasubiri mje Chadema lakini hamkuja na leo nimerudi nyumbani.”

Nawaomba wana CCM wenzangu, mniruhusu niwe miongoni mwao ili tusaidiane na mama yetu katika kueleza mazuri yanayofanyika kuelezea mazuri yanayofanyika na mama nchi inatabasamu, inapumua- Ally Bananga, aliyekuwa Chadema sasa amerejea CCM

Pia, soma;
Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Kaona njaa imezidi ameamua kuunga juhudi ili ashibe.
 
Back
Top Bottom