Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Hii barabara ni ya vumbi Inatokea Tengeru kupitia chuo cha mifugo kuelekea mbuguni.
Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo cha kimataifa cha Nelson Mandela,na kuelekea hadi mbuguni.
Kwa jiji kama hili ambalo limepewa hadhi ya kuwa jiji tangu miaka mingi miundombinu mingi ni bado sana maana barabara zenye Lami ni chache kulinganisha na zile ambazo hazina lami.
Nawasilisha
Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo cha kimataifa cha Nelson Mandela,na kuelekea hadi mbuguni.
Kwa jiji kama hili ambalo limepewa hadhi ya kuwa jiji tangu miaka mingi miundombinu mingi ni bado sana maana barabara zenye Lami ni chache kulinganisha na zile ambazo hazina lami.
Nawasilisha