fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 672
Kweli Kaskazin hawana shukurani!
Hv mnajua Kigoma mpaka Leo haijaungwa na mtandao wa barabara ya lami?
Mbeya kwenda Tabora na Singida kupitia Chunya hamna lami na hiyo barabara ni shortcut ya kutoka Nyanda za juu Kusini kwenda Kanda ya kati, Magharibi na Kanda ya ziwa!
Watu wanalala njiani!
Sasa hicho kiuchochoro Kuna magari yanalazimika kula njiani?
Acheni ubinafsi
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Hv mnajua Kigoma mpaka Leo haijaungwa na mtandao wa barabara ya lami?
Mbeya kwenda Tabora na Singida kupitia Chunya hamna lami na hiyo barabara ni shortcut ya kutoka Nyanda za juu Kusini kwenda Kanda ya kati, Magharibi na Kanda ya ziwa!
Watu wanalala njiani!
Sasa hicho kiuchochoro Kuna magari yanalazimika kula njiani?
Acheni ubinafsi
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app