Siyo Lema?Bali ni magufuli??Impacts of magufuli
Hii barabara kabla ya uhuru ilikuwa vumbi. Baada ya uhuru CCM wakaiwekea lami ya kisasa kabisa, Germany 🇩🇪 quality. CHADEMA walipoingia, wakaikwangua lami yote, hawakuridhika.Hii barabara ni ya vumbi Inatokea Tengeru kupitia chuo cha mifugo kuelekea mbuguni.
Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo cha kimataifa cha Nelson Mandela,na kuelekea hadi mbuguni.
Kwa jiji kama hili ambalo limepewa hadhi ya kuwa jiji tangu miaka mingi miundombinu mingi ni bado sana maana barabara zenye Lami ni chache kulinganisha na zile ambazo hazina lami.
NawasilishaView attachment 2024645
Siyo lema wala magu ni ccmSiyo Lema?Bali ni magufuli??
Naona umeamua kuwa sauti ya wana arusha, ila inavutia bila lami
Tuseme tu, kwa namna hii,haikupaswa kabisa kabisa Arusha kuitwa jiji.Barabara ya muhimu namna hii kukosa lami ni aibu.Najua pia kuna watalii wengi hupita kupata malazi serena hotel iliyopo katikati ya soko la tengeru na Chuo cha mifugo na kuona ziwa Duluti.Pia hupitisha watalii kwenda kuona makaburi ya mababu zao waliozikwa eneo hili karibu na Chuo Cha Maendeleo ya Jamii.Hii barabara ni ya vumbi Inatokea Tengeru kupitia chuo cha mifugo kuelekea mbuguni.
Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo cha kimataifa cha Nelson Mandela,na kuelekea hadi mbuguni.
Kwa jiji kama hili ambalo limepewa hadhi ya kuwa jiji tangu miaka mingi miundombinu mingi ni bado sana maana barabara zenye Lami ni chache kulinganisha na zile ambazo hazina lami.
NawasilishaView attachment 2024645
Lema anahusikaje na hiyo barabaraSiyo Lema?Bali ni magufuli??
Huyo meya na gambo hamna wanalofanya,wako hapo kujaza matumbo yao mana wanajua 2025 hawarudiTuseme tu, kwa namna hii,haikupaswa kabisa kabisa Arusha kuitwa jiji.Barabara ya muhimu namna hii kukosa lami ni aibu.Najua pia kuna watalii wengi hupita kupata malazi serena hotel iliyopo katikati ya soko la tengeru na Chuo cha mifugo na kuona ziwa Duluti.Pia hupitisha watalii kwenda kuona makaburi ya mababu zao waliozikwa eneo hili karibu na Chuo Cha Maendeleo ya Jamii.
Lakini isitoshe, wakazi wa Mianzini Mataa kupandisha kwenda Ilboru Lodge kuna kipande kama mita 100 ambacho hakina lami.Baada ya mita kama 100 hivi kutokea Msikitini barabara ina lami km.2
Sasa hiki kipande kifupi hapa ni cha nani,Arumeru au Manispaa ya Arusha mjini.Mbona kina muda mrefu karibu mwaka wa 5 hakina lami.
Wananchi tumeshindwa kuelewa tena kwa bahati mbaya sana Meya wa jiji la Arusha ni wa eneo hilo na huwa anapita mara kwa mara.Ni mara nyingi maji yamekuwa yakifunguliwa kwenye barabara hii ambayo haina mitaro.Tumeripoti kwake kama mtendaji bila utekelezaji wowote.Nilimpigia simu siku moja kuripoti hilo,akaniambia yuko kwenye kikao Dodoma.Lakini ilinishangaza baada ya masaa machache nilimwona mjini.Labda alirudi haraka kwa ndege.
Mambo ya mabarabara haya na usanii wake yapo mengi hapa Arusha.Ila wakazi wa Mianzini nadhani wanasubiri makaratasi ya kusimama foleni hiyo sijui ndiyo 23 mtu apigwe chini kumaliza usanii.
Kwa taarifa yako,mwaka 1996 kama nakumbuka vizuri mmiliki wa hiyo hoteli kwa sasa Serena aliomba ruhusa ili aweze kuweka lami (baada ya lami iliyokuwepo tangu enzi ya mzungu kujaa mashimo )mpaka hapo hotelini kwake kipindi hicho Mkurugenzi akiwa Mama Kinabo.Hii barabara kabla ya uhuru ilikuwa vumbi. Baada ya uhuru CCM wakaiwekea lami ya kisasa kabisa, Germany 🇩🇪 quality. CHADEMA walipoingia, wakaikwangua lami yote, hawakuridhika.
Wakaichimbia mashimo kama ya kuwekea taka wakaiwekea na miiba na misumari ili magari yapate panchayat na yauwe ball joint, wish bone, spring na shock up.
Tukisema CHADEMA wameturudisha nyuma sana muwe mnatuelewa.
Lesti in pisi GPM
CCM ndio waliokwangua lami hii kisha lawama zinawaendea CHADEMAKwa taarifa yako,mwaka 1996 kama nakumbuka vizuri mmiliki wa hiyo hoteli kwa sasa Serena aliomba ruhusa ili aweze kuweka lami (baada ya lami iliyokuwepo tangu enzi ya mzungu kujaa mashimo )mpaka hapo hotelini kwake kipindi hicho Mkurugenzi akiwa Mama Kinabo.
Kilichotushangaza alinyimwa kibali cha kuiweka lami kwa gharama zake.Wale wa Tengeru watakumbuka.Jambo hili liliwaumiza na mpaka leo hii.
Nawashauri taasisi mbalimbali (hapo zipo nyingi sana na hoteli ) tafuteni namna hao mnaowaambia wako kwenye lami hawawezi kuwasikia wala kuwaelewa kabisa ........ sikivu haipo tena.Zanzibar tulisahaulika miaka mingi.
Siyo Lema?Bali ni magufuli??
Kila jambo hadi Rais aamue bila hivyo hawa viongozi wetu wa chini utekelezaji hamna kituNi ajabu Sana mkuu nilikuwepo pale Tengeru ,,nyuma ya kambi ya jeshi ,,,then mbele unakuta shule ya Sekondari ya Kikwe kulekea Mbuguni ..Mererani ....
Ukiambiwa hiyo road inakwenda mgodini Tena mgodi wa Taifa unaweza kushangaa....
Hawana mpango wa kuweka lami kabsa..
Hizi si barabara za manispa sasa kama wao hawataki kujenga wanakula tu
Kila jambo hadi Rais aamue bila hivyo hawa viongozi wetu wa chini utekelezaji hamna kituNi ajabu Sana mkuu nilikuwepo pale Tengeru ,,nyuma ya kambi ya jeshi ,,,then mbele unakuta shule ya Sekondari ya Kikwe kulekea Mbuguni ..Mererani ....
Ukiambiwa hiyo road inakwenda mgodini Tena mgodi wa Taifa unaweza kushangaa....
Hawana mpango wa kuweka lami kabsa..
Naona umeandika kwa fumbo, wengi tumekuelewaHii barabara kabla ya uhuru ilikuwa vumbi. Baada ya uhuru CCM wakaiwekea lami ya kisasa kabisa, Germany 🇩🇪 quality. CHADEMA walipoingia, wakaikwangua lami yote, hawakuridhika.
Wakaichimbia mashimo kama ya kuwekea taka wakaiwekea na miiba na misumari ili magari yapate panchayat na yauwe ball joint, wish bone, spring na shock up.
Tukisema CHADEMA wameturudisha nyuma sana muwe mnatuelewa.
Lesti in pisi GPM