fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 672
Magufuli alisema mwenyewe wakitoa wapinzania mambo ya takuwa mazuri. Ajabu hata barabara ya mianzini aliyoahidi lami kwenye mkutano wa hadhara hadi leo hamna kituSiyo Lema?Bali ni magufuli??
Siyo barabara hii tu, ukweli Arusha yote barabara ni za hivyo. Wanashindwa hata na Moshi. Jiji halijengi barabara kabisa. Sijui viongozi wa jiji na mkoa wanafanya kazi gani.Hii barabara ni ya vumbi Inatokea Tengeru kupitia chuo cha mifugo kuelekea mbuguni.
Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo cha kimataifa cha Nelson Mandela,na kuelekea hadi mbuguni.
Kwa jiji kama hili ambalo limepewa hadhi ya kuwa jiji tangu miaka mingi miundombinu mingi ni bado sana maana barabara zenye Lami ni chache kulinganisha na zile ambazo hazina lami.
NawasilishaView attachment 2024645
Hapo ndipo hitaji la katiba mpya linapomea mizizi...Kila jambo hadi Rais aamue bila hivyo hawa viongozi wetu wa chini utekelezaji hamna kitu
Umenikumbusha mbali sana. Vip kijiji cha Kikwe umeme umefika?Ni ajabu Sana mkuu nilikuwepo pale Tengeru ,,nyuma ya kambi ya jeshi ,,,then mbele unakuta shule ya Sekondari ya Kikwe kulekea Mbuguni ..Mererani ....
Ukiambiwa hiyo road inakwenda mgodini Tena mgodi wa Taifa unaweza kushangaa....
Hawana mpango wa kuweka lami kabsa..
Umepita pale mkuu..Umenikumbusha mbali sana. Vip kijiji cha Kikwe umeme umefika?
Hii barabara ni ya vumbi Inatokea Tengeru kupitia chuo cha mifugo kuelekea mbuguni.
Barabara hii hiyo inapita katika taasisi ya Tari hot Tengeru. Na pia inapita katika chuo cha Maendeleo ya jamii (TICD) na chuo cha mifugo cha Tengeru,bila kusahau kuwa bara bara hii ndio inayopita katika chuo cha kimataifa cha Nelson Mandela,na kuelekea hadi mbuguni.
Kwa jiji kama hili ambalo limepewa hadhi ya kuwa jiji tangu miaka mingi miundombinu mingi ni bado sana maana barabara zenye Lami ni chache kulinganisha na zile ambazo hazina lami.
NawasilishaView attachment 2024645
Kaa ukikumbuka Tengeru haiko Arusha city council, Tengeru ipo Meru DC kwahiyo usichanganye mafaili
Huyo meya mlaumu kwa mengine lakini si hili la uongo wa majibu ya simu!Tuseme tu, kwa namna hii,haikupaswa kabisa kabisa Arusha kuitwa jiji.Barabara ya muhimu namna hii kukosa lami ni aibu.Najua pia kuna watalii wengi hupita kupata malazi serena hotel iliyopo katikati ya soko la tengeru na Chuo cha mifugo na kuona ziwa Duluti.Pia hupitisha watalii kwenda kuona makaburi ya mababu zao waliozikwa eneo hili karibu na Chuo Cha Maendeleo ya Jamii.
Lakini isitoshe, wakazi wa Mianzini Mataa kupandisha kwenda Ilboru Lodge kuna kipande kama mita 100 ambacho hakina lami.Baada ya mita kama 100 hivi kutokea Msikitini barabara ina lami km.2
Sasa hiki kipande kifupi hapa ni cha nani,Arumeru au Manispaa ya Arusha mjini.Mbona kina muda mrefu karibu mwaka wa 5 hakina lami.
Wananchi tumeshindwa kuelewa tena kwa bahati mbaya sana Meya wa jiji la Arusha ni wa eneo hilo na huwa anapita mara kwa mara.Ni mara nyingi maji yamekuwa yakifunguliwa kwenye barabara hii ambayo haina mitaro.Tumeripoti kwake kama mtendaji bila utekelezaji wowote.Nilimpigia simu siku moja kuripoti hilo,akaniambia yuko kwenye kikao Dodoma.Lakini ilinishangaza baada ya masaa machache nilimwona mjini.Labda alirudi haraka kwa ndege.
Mambo ya mabarabara haya na usanii wake yapo mengi hapa Arusha.Ila wakazi wa Mianzini nadhani wanasubiri makaratasi ya kusimama foleni hiyo sijui ndiyo 23 mtu apigwe chini kumaliza usanii.
Nilikuwa natafuta hii comment..Nami nilisikia kwamba hiyo barabara sio official, ilikuwa kwa ajili ya kupitisha mifugo na ndio maana haiwekwi lami.Mimi kama mdau wa Livestock Training Institute- Tengeru, sikubaliani na hiyo Barbara kuwekwa lami kwani itazuia mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wa taasisi hiyo kwani hawataruhusiwa kupitisha mifugo Yao kwenye lami.
YesNilikuwa natafuta hii comment..Nami nilisikia kwamba hiyo barabara sio official, ilikuwa kwa ajili ya kupitisha mifugo na ndio maana haiwekwi lami.
Yes nmekaa almost 5 weeks. KikweUmepita pale mkuu..
Ulifundisha Kikwe ss mkuu?Yes nmekaa almost 5 weeks. Kikwe
Ina umuhimu gani hiyo barabara?Tuseme tu, kwa namna hii,haikupaswa kabisa kabisa Arusha kuitwa jiji.Barabara ya muhimu namna hii kukosa lami ni aibu.Najua pia kuna watalii wengi hupita kupata malazi serena hotel iliyopo katikati ya soko la tengeru na Chuo cha mifugo na kuona ziwa Duluti.Pia hupitisha watalii kwenda kuona makaburi ya mababu zao waliozikwa eneo hili karibu na Chuo Cha Maendeleo ya Jamii.
Lakini isitoshe, wakazi wa Mianzini Mataa kupandisha kwenda Ilboru Lodge kuna kipande kama mita 100 ambacho hakina lami.Baada ya mita kama 100 hivi kutokea Msikitini barabara ina lami km.2
Sasa hiki kipande kifupi hapa ni cha nani,Arumeru au Manispaa ya Arusha mjini.Mbona kina muda mrefu karibu mwaka wa 5 hakina lami.
Wananchi tumeshindwa kuelewa tena kwa bahati mbaya sana Meya wa jiji la Arusha ni wa eneo hilo na huwa anapita mara kwa mara.Ni mara nyingi maji yamekuwa yakifunguliwa kwenye barabara hii ambayo haina mitaro.Tumeripoti kwake kama mtendaji bila utekelezaji wowote.Nilimpigia simu siku moja kuripoti hilo,akaniambia yuko kwenye kikao Dodoma.Lakini ilinishangaza baada ya masaa machache nilimwona mjini.Labda alirudi haraka kwa ndege.
Mambo ya mabarabara haya na usanii wake yapo mengi hapa Arusha.Ila wakazi wa Mianzini nadhani wanasubiri makaratasi ya kusimama foleni hiyo sijui ndiyo 23 mtu apigwe chini kumaliza usanii.