Arusha: Daladala zagoma tena Arusha, leo Agosti 14, 2023

Arusha: Daladala zagoma tena Arusha, leo Agosti 14, 2023

Uasfir wa hizo daladala za Arusha nao ni hovyoo,waache Bajaj zifanye kazi,ni Bora upande Bajaj unakuwa comfortable kuliko hivyo vipanya vyao na waache kudeka.Bajaj wanalipa Kodi na hivyo vipanya navyo vinalipa Kodi biashara HURIA.
 
Back
Top Bottom