Arusha flood nadhani imewachukua watu wengine leo. Video

Arusha flood nadhani imewachukua watu wengine leo. Video

Nadhani mleta mada alitaka kutuchangamsha Kwa video za zamani maana naona kuna wajeba wameidetect hiyo ni ya zamani.
Inawezekana video ya kitambo lkn juzi familia imepotea kwa mtindo huo walikua na gari aina ya Noah..Uliskia hii!?
 
Back
Top Bottom