Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nimepokea TAARIFA kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini. Nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa HATUNA UCHAGUZI, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa UCHAGUZI huu wa kihuni kabisa Nchini. Tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utiyari wa kuzikana nafsi zetu.
Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa ktk hatua ya sasa yatakayofanywa na Jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, Mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo. Fanyeni Tathimini ya uhuni na uasi huu ktk maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri ktk kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu. Mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na UPUMBAVU, UHUNI na UASI huu. Nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakacho jadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa Nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti
Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia account yake ya X, leo, Jumatano Novemba 27. 2024
PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nimepokea TAARIFA kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini. Nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa HATUNA UCHAGUZI, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa UCHAGUZI huu wa kihuni kabisa Nchini. Tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utiyari wa kuzikana nafsi zetu.
Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa ktk hatua ya sasa yatakayofanywa na Jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, Mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo. Fanyeni Tathimini ya uhuni na uasi huu ktk maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri ktk kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu. Mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na UPUMBAVU, UHUNI na UASI huu. Nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakacho jadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa Nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti
Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia account yake ya X, leo, Jumatano Novemba 27. 2024
PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi