LGE2024 Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

LGE2024 Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,


Lema kujitoa.png

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Nimepokea TAARIFA kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini. Nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa HATUNA UCHAGUZI, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa UCHAGUZI huu wa kihuni kabisa Nchini. Tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utiyari wa kuzikana nafsi zetu.

Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa ktk hatua ya sasa yatakayofanywa na Jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, Mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo. Fanyeni Tathimini ya uhuni na uasi huu ktk maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri ktk kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu. Mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na UPUMBAVU, UHUNI na UASI huu. Nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakacho jadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa Nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti

Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia account yake ya X, leo, Jumatano Novemba 27. 2024

PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi
 
Lema kujitoa.png

"Nimepokea taarifa kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini, nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa hatuna uchaguzi, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa uchaguzi huu, tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utayari wa kuzikana nafsi zetu" -Lema

"Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa katika hatua ya sasa yatakayofanywa na jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo, fanyeni tathimini katika maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri katika kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu, mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakachojadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti" -Lema

Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia mtandao wake binafsi wa X, chapisho aliloweka leo, Jumatano Novemba 27.2024

PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi
 

Attachments

  • 1732711785400.png
    1732711785400.png
    292.4 KB · Views: 5

"Nimepokea taarufa kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini, nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa hatuna uchaguzi, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa uchaguzi huu, tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utayari wa kuzikana nafsi zetu" -Lema​

"Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa katika hatua ya sasa yatakayofanywa na jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo, fanyeni tathimini katika maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri katika kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu, mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakachojadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti" -Lema​

Ni chapisho la Mwenyekiti wa @ChademaTz Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini @godbless_lema kupitia mtandao wake binafsi wa X, chapisho aliloweka leo, Jumatano Novemba 27.2024​


PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi
Tumeshirikia ili kumuumbua yule Mtalaam wa 4r na unafiki.

Nchi imefongoka
 
Mbowe na wenzie wanalazimisha kushiriki uchafuzi huu ili wasizodolewe kushiriki uchaguzi wa ubunge mwaka 2025 ili wapate ruzuku.

Mbowe anajua, CHADEMA inajua na Watanzania wanajua, kuwa bila Katiba mpya na Sheria mpya ya Uchaguzi kushiriki hizi chafuzi ni Ujinga!
 
Mbowe na wenzie wanalazimisha kushiriki uchafuzi huu ili wasizodolewe kushiriki uchaguzi wa ubunge mwaka 2025 ili wapate ruzuku.

Mbowe anajua, CHADEMA inajua na Watanzania wanajua, kuwa bila Katiba mpya na Sheria mpya ya Uchaguzi kushiriki hizi chafuzi ni Ujinga!
Aisee afadhali tumeona sasa tutajua cha kufanya next year.

Unajua huu uchaguzi umeleta ushahidi pass na shaka namna Damia alivyo.

Amekuwa akimsingizia Magufuli.

Sasa tuna ushahidi concrete juu yake.
 
Unamsusia mfupa fisi? Susa uone kama atakubembeleza au atachekelea
 
Back
Top Bottom