Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Erythrocyte jana nilikuuliza swali. unalikumbuka?Tulimwambia Mbowe, hapa hakuna uchaguzi ni upuuzi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Erythrocyte jana nilikuuliza swali. unalikumbuka?Tulimwambia Mbowe, hapa hakuna uchaguzi ni upuuzi tu
Mkuu kumbe mbaya hakuwa mwendazake?
Mbowe na wenzie wanalazimisha kushiriki uchafuzi huu ili wasizodolewe kushiriki uchaguzi wa ubunge mwaka 2025 ili wapate ruzuku.
Mbowe anajua, CHADEMA inajua na Watanzania wanajua, kuwa bila Katiba mpya na Sheria mpya ya Uchaguzi kushiriki hizi chafuzi ni Ujinga!
Bitter truth. Ni muhimu CHADEMA kushiriki hizi "chaguzi" ili kuthibitisha na kuweka wazi ushahidi wa maovu yanayotendwa na dola. CHADEMA wasingeshiriki mambo yangeenda shwari kabisa na kauli yoyote kuhusu kasoro za msingi ingepuuzwa kirahisi. Hata hoja za katiba mpya, tume huru na utawala bora zisingekuwa na nguvu...haya matukio yatuongezee ari na hamasa ya kupigania Tume Huru ya Uchaguzi, na Katiba Mpya.
Canada huyoWakuu,
Nimepokea TAARIFA kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini. Nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa HATUNA UCHAGUZI, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa UCHAGUZI huu wa kihuni kabisa Nchini. Tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utiyari wa kuzikana nafsi zetu.
Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa ktk hatua ya sasa yatakayofanywa na Jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, Mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo. Fanyeni Tathimini ya uhuni na uasi huu ktk maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri ktk kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu. Mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na UPUMBAVU, UHUNI na UASI huu. Nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakacho jadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa Nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti
Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia account yake ya X, leo, Jumatano Novemba 27. 2024
PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi
Labda wewe ndo nyaniHahahaha......Afrika bado kunaishi Nyani hakuna binadamu hapa
Kuweni watulivu wakati mnafanya maamuzi yenu.Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa ktk hatua ya sasa yatakayofanywa na Jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, Mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo. Fanyeni Tathimini ya uhuni na uasi huu ktk maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri ktk kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu. Mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na UPUMBAVU, UHUNI na UASI huu. Nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakacho jadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa Nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti
Hili lilikuws jambo muhimu sana.Lililo muhimu, ni kuwa mmethibitisha wenyewe, na wananchi wameona kilicho fanyika.
..haya matukio yatuongezee ari na hamasa ya kupigania Tume Huru ya Uchaguzi, na Katiba Mpya.
Wananchi wameona kila kitu, lakini ni wajibu wenu kuwaendea na ushahidi mlio kusanya katika zoezi hili na kufanya nao mipango ya nini kifanyike 2025.
Ni UCHOKO wa hali ya juu mtu mzima kuwa na ID eti MamaSamia2025,hakika MACHOKO hamtaisha Nchi hiiLema huwa anajitutumua sana ila muda wa taabu ukifika anakimbia spidi ya ngiri akiwaachia nyumbu msala.
Chafuzi wamezijua leo?
CCM inabank on kwenye kusahau kwa wabongo, fatigue ya viongozi wakuu wa upinzani na kuwanunua kwa kupenyeza rupia.
Msimamo sahihi wa CHADEMA ambao watanzania walishawaelewa ni tamko la kamati kuu ya mwaka 2020 kuwa Chama kamwe hakitoshiriki chaguzi kwa katiba hii na sheria hizi za uchaguzi. Hizi Flip flop wala hazisaidii kumake point kwa wananchi, bali zinawaonyesha Chadema kama watu wanaoyumba ktk misimamo ya msingi na hivyo kupoteza mvuto kwa kasi mbele ya umma.
Tusibaki kwenye yaliyo ita.Chafuzi wamezijua leo?
CCM inabank on kwenye kusahau kwa wabongo, fatigue ya viongozi wakuu wa upinzani na kuwanunua kwa kupenyeza rupia.
Msimamo sahihi wa CHADEMA ambao watanzania walishawaelewa ni tamko la kamati kuu ya mwaka 2020 kuwa Chama kamwe hakitoshiriki chaguzi kwa katiba hii na sheria hizi za uchaguzi. Hizi Flip flop wala hazisaidii kumake point kwa wananchi, bali zinawaonyesha Chadema kama watu wanaoyumba ktk misimamo ya msingi na hivyo kupoteza mvuto kwa kasi mbele ya umma.
Kuzuia uchaguzi wa 2025 kuwepo, bila ya kuwa na Tume HURU na sheria zinazo simamia HAKI..what is the way forward kwa haya yaliyotokea?
..maana uchaguzi sio suala la Chadema peke yao.
Kuzuia uchaguzi wa 2025 kuwepo, bila ya kuwa na Tume HURU na sheria zinazo simamia HAKI
au
Kushiriki uchaguzi huo kibabe kama wanavyo taka CCM katika mazingira yaliyopo sasa; na kuhakikisha kuwa "UHALIFU" wa CCM utakataliwa kwa njia zote. hata ikiwa kwa nguvu za wananchi. walio tayari kukataa uumbavu.
Ni hayo mawili tu.