LGE2024 Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

LGE2024 Arusha: Godbless Lema ameamua kususia na kujitenga kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Bargaining chip waliyonayo CHADEMA ni uwezo wa kuwafanya wananchi wapuuze hizi chaguzi feki. Hili linaweza kufanyika kwa consistently kuwaambia wananchi kuwa kushiriki chafuzi hizi ni kupoteza muda, pesa.

Wananchi watawaelewa sana na in exchange CHADEMA consistenly iwe na message moja tu kwa umma, kuwa bila katiba mpya nzuri, wananchi kamwe msitegemee chaguzi za maana.

Umma wa kutosha utaside na CHADEMA na hilo litaweka pressure kwa CCM kufanya reforms.
Nisicho kubaliana nacho katika maoni yako ni huko "wananchi kupuuza chaguzi". Hilo CCM haliwastui, tena wanalipenda sana hilo; kwa sababu wataendelea kuwa madarakani bila ya usumbufu wowote

'Consistency'?. Ya hadi lini?
Wakati ni sasa, ushahidi upo wazi kwa kila mtu. Kazi pekee inayo wasubiri CHADEMA ni kuwaunganisha wananchi na ku'co-ordinate' juhudi za wananchi kukataa kuwepo kwa uchaguzi mwakani katika mazingira haya haya; au kukubali kuendelea na uchaguzi huo wakiwa tayari kukabiliana na lolote watakalo taka CCM.
Kazi ekee iliyopo kwa CHADEMA ni kufanya kazi na wananchi tokea sasa.
 
Nisicho kubaliana nacho katika maoni yako ni huko "wananchi kupuuza chaguzi". Hilo CCM haliwastui, tena wanalipenda sana hilo; kwa sababu wataendelea kuwa madarakani bila ya usumbufu wowote

'Consistency'?. Ya hadi lini?
Wakati ni sasa, ushahidi upo wazi kwa kila mtu. Kazi pekee inayo wasubiri CHADEMA ni kuwaunganisha wananchi na ku'co-ordinate' juhudi za wananchi kukataa kuwepo kwa uchaguzi mwakani katika mazingira haya haya; au kukubali kuendelea na uchaguzi huo wakiwa tayari kukabiliana na lolote watakalo taka CCM.
Kazi ekee iliyopo kwa CHADEMA ni kufanya kazi na wananchi tokea sasa.

Wananchi wakipuuza chaguzi, polepole wanaanza kufikiri njia mbadala.

Na zile force zinazotafuta sababu zinakuwa zinapata sababu na uungwaji mkono wa umma!

Hiyo ni threat kubwa zaidi kwa CCM kuliko kuogopa kuwaibia kura!
 
Yawezekana Lema na Chadema walifanya uamuzi wa kushirika uchaguzi wakijua fika kuna Upumbavu mkubwa kwenye uchaguzi husika. Lakini Mungu ameamua kutuonyesha sura halisi ya Samia na Chama chake.
 
Wananchi wakipuuza chaguzi, polepole wanaanza kufikiri njia mbadala. Hiyo ni threat kubwa zaidi kwa CCM kuliko kuogopa kuwaibia kura!
hHivi una mpango wa miaka mingapi mkuu 'Missile' na kutimiza lengo hili la 'consistence'?
Bado unayo subira ya miaka ishirini ijayo?

Mimi nazungumzia mwakani, hiyo ya "polepole" haio tena., na kwa kweli CCM hilo haliwasumbui hata kidogo.
 
hivi una mango wa miaka mingai mkuu 'Missile' na kutimiza lengo hili la 'consistence'?
Bando unayo subira ya miaka ishirini ijayo?

Mao na Macomrade wenzie walikinukisha kuanzia miaka ya 1920's mpaka mwaka 1949 walivyochukua nchi.

Akina Mandela walistruggle miaka mingi mpaka Freedom.

NO EASY WALK TO FREEDOM/VICTORY
 
Kuna watu wanalazimisha eti kusisia uchaguzi ni kumuachia fisi butcher, lakini kinachoendelea ni wendawazimu kushiriki uhayawani wa hivi. Machafuko au mapinduzi ya kijeshi ndii habari ya mjini.
Wewe nyumbu mapinduzi ya kijeshi unayaweza!!?
 
Mao na Macomrade wenzie walikinukisha kuanzia miaka ya 1920's mpaka mwaka 1949 walivyochukua nchi.

Akina Mandela walistruggle miaka mingi mpaka Freedom.

NO EASY WALK TO FREEDOM/VICTORY
Actually, we have been in this struggle for quite some time now! Toka 1995, nadhani!
Kutokana na hali ninavyo iona sasa, Tanzania io tayari kabisa kuondokana na CCM; hata kama itakuwa ni kwa muda mfupi, ipate nafasi ya kujipanga tena.

Time is now.

Zambia, Malawi, Botwana na kwingineko Afrika tayari walisha ondokana na hivi vyama vya ukombozi vilivyo kengeuka. Sasa ni zamu yetu.
 
Kuna watu wanalazimisha eti kusisia uchaguzi ni kumuachia fisi butcher, lakini kinachoendelea ni wendawazimu kushiriki uhayawani wa hivi. Machafuko au mapinduzi ya kijeshi ndii habari ya mjini.
Machafuko kafanye na mama yako
 
  • Nzuri
Reactions: UCD
Actually, we have been in this struggle for quite some time now! Toka 1995, nadhani!
Kutokana na hali ninavyo iona sasa, Tanzania io tayari kabisa kuondokana na CCM; hata kama itakuwa ni kwa muda mfupi, ipate nafasi ya kujipanga tena.

Time is now.

I get your "urgency of now" feeling. But you cant remove CCM with half measures. Persistence is required. Focus on the fundamental problem should't be shifted.

Mzizi wa Fitina bongo ni KATIBA mbovu, mengine yoooote ni symptoms tu but the illness is KATIBA mbovu.
 
CHADEMA imepwaya sana!
Haina viongozi wa mikakati bali imebaki na wanaharakati waropokaji kama akina Godbless Lema!
CHADEMA imezidiwa kwa mbali sana na ACT WAZALENDO.
 
Wahuni..asali ni tamu ukilambishwa kuliko kuwa nayo kopo zima.
 
Wakuu,



Nimepokea TAARIFA kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini. Nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa HATUNA UCHAGUZI, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa UCHAGUZI huu wa kihuni kabisa Nchini. Tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utiyari wa kuzikana nafsi zetu.

Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa ktk hatua ya sasa yatakayofanywa na Jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, Mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo. Fanyeni Tathimini ya uhuni na uasi huu ktk maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri ktk kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu. Mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na UPUMBAVU, UHUNI na UASI huu. Nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakacho jadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa Nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti

Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia account yake ya X, leo, Jumatano Novemba 27. 2024

PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi

Mama Avdul na Mkwe wake mwenyr Kifua kipana wameamua kufanya Kimagufuli. Tatizo Havana nguvu na maarifa ya kudhibiti watu. Ndiyo maana Kuna watu wamekufa. Halafu kesho Nama Abdul atadai hajawahi kuua hat sisimizi.

Hata Akina Idd Amin walikuwa Hawaii watu was wenyewe direct kwa mikono yao.

Kwa vile anapenda kusifiwa kwa maturity na mabaya inabidi yawe make pia.
 
I get your "urgency of now" feeling. But you cant remove CCM with half measures. Persistence is required. Focus on the fundamental problem should't be shifted.

Mzizi wa Fitina bongo ni KATIBA mbovu, mengine yoooote ni symptoms tu but the illness is KATIBA mbovu.
Ninakuelewa vizuri sana kuhusu 'consistence" na 'persistence' inayo takiwa kufanywa na CHADEMA na wengine wote kuwafanya CCM waone kuwa haiwezekani kwao kuendelea kama wanavyo fanya sasa. Hili nina lielewa vizuri kabisa.
Lakini kamwe siwezi kukubali juu ya 'consistence' ya kuwapa ushindi CCM kila uchaguzi kwa "kususa" kushiriki uchaguzi. Hili hapana.

Ulitoa mifano ya Mao na Mandela; lakini ukasahau kueleza kuwa hayo yalikuwa ni mapambano, ya kivita. Hayakuwa mapambano ya "kuzira" na kuwaacha makaburu wakiendelea na raha zao.

Ni kipi kisicho wezekana kuwepo kwa Tume HURU ya uchaguzi; na kuweo na sheria zinazolinda Uhuru na Haki ya chaguzi; hata kabla ya uweo wa Katiba Mya?
 
Ninakuelewa vizuri sana kuhusu 'consistence" na 'persistence' inayo takiwa kufanywa na CHADEMA na wengine wote kuwafanya CCM waone kuwa haiwezekani kwao kuendelea kama wanavyo fanya sasa. Hili nina lielewa vizuri kabisa.
Lakini kamwe siwezi kukubali juu ya 'consistence' ya kuwapa ushindi CCM kila uchaguzi kwa "kususa" kushiriki uchaguzi. Hili hapana.

Ulitoa mifano ya Mao na Mandela; lakini ukasahau kueleza kuwa hayo yalikuwa ni mapambano, ya kivita. Hayakuwa mapambano ya "kuzira" na kuwaacha makaburu wakiendelea na raha zao.

Ni kipi kisicho wezekana kuwepo kwa Tume HURU ya uchaguzi; na kuweo na sheria zinazolinda Uhuru na Haki ya chaguzi; hata kabla ya uweo wa Katiba Mya?

Haya bhana, Wewe unaita kususa mimi naita kupuuzia ujinga.

Kama uchaguzi ungekuwa uchaguzi kweli kisha ukaacha kushiriki hiyo ingekuwa ni kususa

Lakini uchaguzi hakuna, kuna uchafuzi, kuacha kushiriki uchafuzi siyo kususa bali ni kuchukua higher moral ground yenye heshima mbele ya umma. Umma kwa sababu una macho na unaona utakuunga mkono na hapo ndipo kibano cha pressure dhidi ya CCM kitakapokuwa kikubwa mno!
 
Back
Top Bottom