Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulishasikiwa gaidi anaachiwa ndani ya wiki 2 hapa Tanzania?Sasa mbona alifungwa kwa kesi ya kibambika ya Ugaidi?
Mbowe na wenzie wanalazimisha kushiriki uchafuzi huu ili wasizodolewe kushiriki uchaguzi wa ubunge mwaka 2025 ili wapate ruzuku.
Mbowe anajua, CHADEMA inajua na Watanzania wanajua, kuwa bila Katiba mpya na Sheria mpya ya Uchaguzi kushiriki hizi chafuzi ni Ujinga!
Zishakufa4R za Mama
Wewe umefanya nini ili kuhakikisha nchi inakuwa na uchaguzi huru na inapata katiba mpya?Mbowe na wenzie wanalazimisha kushiriki uchafuzi huu ili wasizodolewe kushiriki uchaguzi wa ubunge mwaka 2025 ili wapate ruzuku.
Mbowe anajua, CHADEMA inajua na Watanzania wanajua, kuwa bila Katiba mpya na Sheria mpya ya Uchaguzi kushiriki hizi chafuzi ni Ujinga!
Anahamasisha kupindua nchi uyo🤔
Kwamba yameanza leo Tanzania?..Chadema wangesusa tusingeweza kuyajua haya anayolalamikia Godbless Lema.
..Mimi naamini vyama vyote vya upinzani kushiriki serikali za mitaa, kumeweka wazi dhuluma ktk uchaguzi, na kumeongeza uzito wa hoja ya madai ya kuundwa kwa mfumo bora wa uchaguzi Tanzania.
Kwamba yameanza leo Tanzania?
Wewe na Lema wote wapuuzi
Tuliaminishwa kuwa "Magufuli ndiye aliyeratibu na kuharibu chaguzi ila kwa kuwa katangulia mbele ya haki basi waliobaki hawana baya" haya sasa kiko wapi?Mbowe na wenzie wanalazimisha kushiriki uchafuzi huu ili wasizodolewe kushiriki uchaguzi wa ubunge mwaka 2025 ili wapate ruzuku.
Mbowe anajua, CHADEMA inajua na Watanzania wanajua, kuwa bila Katiba mpya na Sheria mpya ya Uchaguzi kushiriki hizi chafuzi ni Ujinga!
Mkuu kumbe mbaya hakuwa mwendazake?Mauaji ya wagombea na viongozi wa CHADEMA ni kila kona ya nchi na wahusika wakuu ni ccm na jeshi la police🤬🤬🤬
Chadema Kanda ya Kaskazini Imemshinda Nabii Mnyang'anyi wa Malori,
"Nimepokea taarifa kutoka sehemu zote takribani Kanda ya Kaskazini, nimeridhika kwa kiwango cha kutosha kabisa kuwa hatuna uchaguzi, nafahamu maazimio ya Kamati Kuu juu ya msimamo wetu juu ya ushiriki wa uchaguzi huu, tatizo ni kubwa kuliko hatua tunazoweza kuchukua kwa sasa bila tathimini ya kina yenye utayari wa kuzikana nafsi zetu" -Lema
"Kwa hiyo maamuzi yoyote hata kama ni ya kujiondoa katika hatua ya sasa yatakayofanywa na jimbo lolote baada ya tathimini sahihi, mimi binafsi sitakuwa na mgogoro nayo, fanyeni tathimini katika maeneo yenu kisha fanyeni maamuzi ya kijasiri katika kuamua mwelekeo wa uchaguzi huu, mimi Godbless Lema kwa hatua ya sasa nimejitenga na nafikiri napaswa kuwa kwenye kikao kitakachojadili hatua mpya za kutafuta thamani na utu wa nchi yangu bila kuogopa mateso na mauti" -Lema
Ni chapisho la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kupitia mtandao wake binafsi wa X, chapisho aliloweka leo, Jumatano Novemba 27.2024
PIA SOMA
- LGE2024 - Godbless Lema: Viongozi wa CHADEMA Arusha wamenyimwa Viapo vya Mawakala siku moja kabla ya Uchaguzi
